Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Video hii hapa👇

51,059 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

11 Yorum

AhmedBenBella🔟 profil fotoğrafı
AhmedBenBella🔟1 yıl önce

Msikilize wakili Jacob apo video nimekuwekea kwenye comment kuhusu ukakasi unaoweza kujitokeza kwenye kesi dhidi ya Derrick junior jamaa aliyeonekana kwenye picha mjongeo akimpiga jamaa kwenye club 1245!👇👇

MUFASA. profil fotoğrafı
MUFASA.1 yıl önce

With no dis respect wewe Kama wakili ushawahi kusimamia case yoyote ambayo evidence zipo kw CCTV camera? Huwezi danganya au jitetea video ni ya zamani akati CCTV camera ina keep na ku show record ya date and exact time in hours, minutes and seconds ya kila tukio.

Denice Tumaini profil fotoğrafı
Denice Tumaini1 yıl önce

Hiki kinachofanyika hapa kinaitwa subjudice. Kinahamishia mjadala unaohusu ushahidi wa kesi kwenye mitandao na vyombo vya habari. Hili ni kosa tosha la kuondoka na leseni ya media achilia mbali kulala gerezani miezi 6. @TCRA_Tz hizi media huwa hazionekani?

Chaz_skills profil fotoğrafı
Chaz_skills1 yıl önce

Sasa wakili mbona nae hamna kitu footage zote zinakua na muda pale juu na sku na tarehe

Athuman💎 profil fotoğrafı
Athuman💎1 yıl önce

Jamaa nibwege kwani jinai inaoza?

AhmedBenBella🔟 profil fotoğrafı
AhmedBenBella🔟1 yıl önce

Umemwelewa lkn

Hafidhi Marijani profil fotoğrafı
Hafidhi Marijani1 yıl önce

Sema huyu jamaa hayo maswali yamekaa kizembe sana aache tu. Bastola inajulikana eti toy angeikoki aache kuchumia tumbo.

max profil fotoğrafı
max1 yıl önce

Ndio maana huwa tu natafuta mganga alie serious,sheria ina matundu kama neti,polisi kazi yao ni kuthibitishia mahakama kosa la msingj la mtuhumiwa,halafu mahakama inafanya kazi ndogo tu(kutafsiri sheria). Si kutoa haki hata siku moja.

Fatika profil fotoğrafı
Fatika1 yıl önce

Bado atakuwa na tuhuma zacmakosa matatu: 1. Threat to kill - kutishia kuua 2. Causing bodly harm - Kupiga mtu 3. Public disturbance - kushababisha taharuki

SPECIMEN XY🇺🇸 profil fotoğrafı
SPECIMEN XY🇺🇸1 yıl önce

Jeshi la polisi wanajua walimpa kibari cha kumiliki bastola na alipewa leseni ya umiliki no doubt...et ni toy au kuna kibari cha kumiliki Toy ya basta

AhmedBenBella🔟 profil fotoğrafı
AhmedBenBella🔟1 yıl önce

Nyie hamjaelewa sio km Ana mtetea bali anachojaribu kusema ni namna mahakama ikiamua kumtetea

Benzer Videolar