Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Why Zumaridi anaitwa "Baba?"

34,229 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

11 Yorum

Daktari Wa Manesi 💉💊 profil fotoğrafı
Daktari Wa Manesi 💉💊1 yıl önce

Tanzania ukifanya biashara ya kuwauzia matumaini basi utajiri huu hapa

Baba Vickram Aditya Bedi profil fotoğrafı
Baba Vickram Aditya Bedi1 yıl önce

The legacy and descendants of Baba Guru Nanak Dev Ji, by Baba Vickram Aditya Bedi Click on the link below:

Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿 profil fotoğrafı
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿1 yıl önce

Ndio lugha zenyewe za manabii. Ni mama kwenye macho ya kibinadamu; baba kiroho 😁

Bongozozo!!! profil fotoğrafı
Bongozozo!!!1 yıl önce

Makafir bhana.....Mungu ashangae kwani Mungu ,nibinadam..???........Mungu sio kiumbe wasenge nyie,,,............Mungu acheni Wala halii,Mungu ashangai Wala Hana jambo jipya hapa duniani!........

tiba asili profil fotoğrafı
tiba asili1 yıl önce

ziwa sasa alivyoliboost😂😂huyo amevunja ndoa za wengi sana Mwanza aiseee kuna wanawake walichagua kuachika ila si kutoka kwake

Dingii profil fotoğrafı
Dingii1 yıl önce

Watu wana matatizo ya akili nchi hii jamani

gesase Mrimi profil fotoğrafı
gesase Mrimi1 yıl önce

Sisi wakristo Kuna sehem kwenye bible tunasoma inasema (Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa) nadhan ndio hawa sasa

jibwa pori profil fotoğrafı
jibwa pori1 yıl önce

Aisee kunaviumbe kwenye hii Venezuela yetu wamepagawa nilikua mwanza mwezi wa12 nikamsindikiza broo kwenda kurekebisha AC kwahuyu mama aisee vijana waliopo pale wanaitaji msaada maana wanavyomsujudia utazani mungu kwenye picha yake wanasujudu mara tatu

The Fact profil fotoğrafı
The Fact1 yıl önce

Atakuwa anafahamu hii Sheria (Interpretation of Laws Act) Gender and number In any written law— (a) words importing the masculine gender include the feminine; (b) words importing the feminine gender include the masculine;

Mr. Darajani profil fotoğrafı
Mr. Darajani1 yıl önce

kwasababu Baba ni mamlaka, Baba ni mtawala ndiyo maana hata Mungu tunamuita Baba, mama ni msaidizi kwa Baba, kwahiyo wakimuita mama ni kama wanashusha mamlaka aliyokuwa nayo!

MOTO WA MIALI profil fotoğrafı
MOTO WA MIALI1 yıl önce

Asilimia kubwa ya wakristo hawasomi NENO la Mungu , hivyo manabii wa uhongo na fake pastors wanawadanganya kirahisi , Mtu kama huyo haupaswi sio tu kumkaribisha nyumbani kwako hata salamu usimpe hili usizishiriki kazi zake

Benzer Videolar