Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

34,229 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)

11 Kommentare

Profilbild von Daktari Wa Manesi 💉💊
Daktari Wa Manesi 💉💊vor 1 Jahr

Tanzania ukifanya biashara ya kuwauzia matumaini basi utajiri huu hapa

Profilbild von Baba Vickram Aditya Bedi
Baba Vickram Aditya Bedivor 1 Jahr

The legacy and descendants of Baba Guru Nanak Dev Ji, by Baba Vickram Aditya Bedi Click on the link below:

Profilbild von Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿vor 1 Jahr

Ndio lugha zenyewe za manabii. Ni mama kwenye macho ya kibinadamu; baba kiroho 😁

Profilbild von Bongozozo!!!
Bongozozo!!!vor 1 Jahr

Makafir bhana.....Mungu ashangae kwani Mungu ,nibinadam..???........Mungu sio kiumbe wasenge nyie,,,............Mungu acheni Wala halii,Mungu ashangai Wala Hana jambo jipya hapa duniani!........

Profilbild von tiba asili
tiba asilivor 1 Jahr

ziwa sasa alivyoliboost😂😂huyo amevunja ndoa za wengi sana Mwanza aiseee kuna wanawake walichagua kuachika ila si kutoka kwake

Profilbild von Dingii
Dingiivor 1 Jahr

Watu wana matatizo ya akili nchi hii jamani

Profilbild von gesase Mrimi
gesase Mrimivor 1 Jahr

Sisi wakristo Kuna sehem kwenye bible tunasoma inasema (Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa) nadhan ndio hawa sasa

Profilbild von jibwa pori
jibwa porivor 1 Jahr

Aisee kunaviumbe kwenye hii Venezuela yetu wamepagawa nilikua mwanza mwezi wa12 nikamsindikiza broo kwenda kurekebisha AC kwahuyu mama aisee vijana waliopo pale wanaitaji msaada maana wanavyomsujudia utazani mungu kwenye picha yake wanasujudu mara tatu

Profilbild von The Fact
The Factvor 1 Jahr

Atakuwa anafahamu hii Sheria (Interpretation of Laws Act) Gender and number In any written law— (a) words importing the masculine gender include the feminine; (b) words importing the feminine gender include the masculine;

Profilbild von Mr. Darajani
Mr. Darajanivor 1 Jahr

kwasababu Baba ni mamlaka, Baba ni mtawala ndiyo maana hata Mungu tunamuita Baba, mama ni msaidizi kwa Baba, kwahiyo wakimuita mama ni kama wanashusha mamlaka aliyokuwa nayo!

Profilbild von MOTO WA MIALI
MOTO WA MIALIvor 1 Jahr

Asilimia kubwa ya wakristo hawasomi NENO la Mungu , hivyo manabii wa uhongo na fake pastors wanawadanganya kirahisi , Mtu kama huyo haupaswi sio tu kumkaribisha nyumbani kwako hata salamu usimpe hili usizishiriki kazi zake

Ähnliche Videos