Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Why Zumaridi anaitwa "Baba?"

34,229 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

Daktari Wa Manesi 💉💊's profile picture
Daktari Wa Manesi 💉💊1 year ago

Tanzania ukifanya biashara ya kuwauzia matumaini basi utajiri huu hapa

Baba Vickram Aditya Bedi's profile picture
Baba Vickram Aditya Bedi1 year ago

The legacy and descendants of Baba Guru Nanak Dev Ji, by Baba Vickram Aditya Bedi Click on the link below:

Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿's profile picture
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿1 year ago

Ndio lugha zenyewe za manabii. Ni mama kwenye macho ya kibinadamu; baba kiroho 😁

Bongozozo!!!'s profile picture
Bongozozo!!!1 year ago

Makafir bhana.....Mungu ashangae kwani Mungu ,nibinadam..???........Mungu sio kiumbe wasenge nyie,,,............Mungu acheni Wala halii,Mungu ashangai Wala Hana jambo jipya hapa duniani!........

tiba asili's profile picture
tiba asili1 year ago

ziwa sasa alivyoliboost😂😂huyo amevunja ndoa za wengi sana Mwanza aiseee kuna wanawake walichagua kuachika ila si kutoka kwake

Dingii's profile picture
Dingii1 year ago

Watu wana matatizo ya akili nchi hii jamani

gesase Mrimi's profile picture
gesase Mrimi1 year ago

Sisi wakristo Kuna sehem kwenye bible tunasoma inasema (Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa) nadhan ndio hawa sasa

jibwa pori's profile picture
jibwa pori1 year ago

Aisee kunaviumbe kwenye hii Venezuela yetu wamepagawa nilikua mwanza mwezi wa12 nikamsindikiza broo kwenda kurekebisha AC kwahuyu mama aisee vijana waliopo pale wanaitaji msaada maana wanavyomsujudia utazani mungu kwenye picha yake wanasujudu mara tatu

The Fact's profile picture
The Fact1 year ago

Atakuwa anafahamu hii Sheria (Interpretation of Laws Act) Gender and number In any written law— (a) words importing the masculine gender include the feminine; (b) words importing the feminine gender include the masculine;

Mr. Darajani's profile picture
Mr. Darajani1 year ago

kwasababu Baba ni mamlaka, Baba ni mtawala ndiyo maana hata Mungu tunamuita Baba, mama ni msaidizi kwa Baba, kwahiyo wakimuita mama ni kama wanashusha mamlaka aliyokuwa nayo!

MOTO WA MIALI's profile picture
MOTO WA MIALI1 year ago

Asilimia kubwa ya wakristo hawasomi NENO la Mungu , hivyo manabii wa uhongo na fake pastors wanawadanganya kirahisi , Mtu kama huyo haupaswi sio tu kumkaribisha nyumbani kwako hata salamu usimpe hili usizishiriki kazi zake

Related Videos