正在加载视频...

视频加载失败

Why Zumaridi anaitwa "Baba?"

34,229 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)

11 条评论

Daktari Wa Manesi 💉💊 的头像
Daktari Wa Manesi 💉💊1 年前

Tanzania ukifanya biashara ya kuwauzia matumaini basi utajiri huu hapa

Baba Vickram Aditya Bedi 的头像
Baba Vickram Aditya Bedi1 年前

The legacy and descendants of Baba Guru Nanak Dev Ji, by Baba Vickram Aditya Bedi Click on the link below:

Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿 的头像
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿1 年前

Ndio lugha zenyewe za manabii. Ni mama kwenye macho ya kibinadamu; baba kiroho 😁

Bongozozo!!! 的头像
Bongozozo!!!1 年前

Makafir bhana.....Mungu ashangae kwani Mungu ,nibinadam..???........Mungu sio kiumbe wasenge nyie,,,............Mungu acheni Wala halii,Mungu ashangai Wala Hana jambo jipya hapa duniani!........

tiba asili 的头像
tiba asili1 年前

ziwa sasa alivyoliboost😂😂huyo amevunja ndoa za wengi sana Mwanza aiseee kuna wanawake walichagua kuachika ila si kutoka kwake

Dingii 的头像
Dingii1 年前

Watu wana matatizo ya akili nchi hii jamani

gesase Mrimi 的头像
gesase Mrimi1 年前

Sisi wakristo Kuna sehem kwenye bible tunasoma inasema (Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa) nadhan ndio hawa sasa

jibwa pori 的头像
jibwa pori1 年前

Aisee kunaviumbe kwenye hii Venezuela yetu wamepagawa nilikua mwanza mwezi wa12 nikamsindikiza broo kwenda kurekebisha AC kwahuyu mama aisee vijana waliopo pale wanaitaji msaada maana wanavyomsujudia utazani mungu kwenye picha yake wanasujudu mara tatu

The Fact 的头像
The Fact1 年前

Atakuwa anafahamu hii Sheria (Interpretation of Laws Act) Gender and number In any written law— (a) words importing the masculine gender include the feminine; (b) words importing the feminine gender include the masculine;

Mr. Darajani 的头像
Mr. Darajani1 年前

kwasababu Baba ni mamlaka, Baba ni mtawala ndiyo maana hata Mungu tunamuita Baba, mama ni msaidizi kwa Baba, kwahiyo wakimuita mama ni kama wanashusha mamlaka aliyokuwa nayo!

MOTO WA MIALI 的头像
MOTO WA MIALI1 年前

Asilimia kubwa ya wakristo hawasomi NENO la Mungu , hivyo manabii wa uhongo na fake pastors wanawadanganya kirahisi , Mtu kama huyo haupaswi sio tu kumkaribisha nyumbani kwako hata salamu usimpe hili usizishiriki kazi zake

相关视频