Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Yani Mungu....

11,489 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля Latto 𝕏
Latto 𝕏1 год назад

Mzee ahoji maana ya Mungu kwa wakristo. Sikiliza anachokisema... Video kwa Comments 👇

Фото профиля ewardrayms
ewardrayms1 год назад

Ikumbukwe wazi kwamba. Sisi Wakristo Tunaamini Katika UTATU MTAKATIFU. IKIWA MUNGU BABA, MUNGU MWANA NA MUNGU ROHO MTAKATIFU. ikumbukwe pia KATIKA KITABU cha Uumbaji.. MUNGU alisema na tumfanye mtu kwa mfano wetu sisi. Ikiwa Inamaana MUNGU HAKUWA PEKE YAKE🤔

Фото профиля Steward
Steward1 год назад

Asicho jua ni kwamba Kipindi cha Musa Mungu ajifunua kama Moto akazungumuza na Musa Mungu alijifunua kama Radi inamaana Mungu hawezi kujifunua kama binadamu? YESU alizaliwa kwa Neno na kwa Roho Wengine tumezaliwa kwa Mbegu ya mwanadamu Hatuja wai kufa na kufufuka

Фото профиля Solar Heavy
Solar Heavy1 год назад

does this represent Miami?

Фото профиля Alexander A Msoffe
Alexander A Msoffe1 год назад

Mbona anajiuniza kutafuta filosofia kubwa sana,🤣🤣 kwani kati ya YAI na kuku kilianza nini?

Фото профиля JESUS COUSIN📌
JESUS COUSIN📌1 год назад

Hamna akili wewe na huyo mzee

Фото профиля @weremarwa
@weremarwa1 год назад

Shida ni kwamba hata hii picha siyo ya yesu wala mungu, ni ya jamaa mmoja mmalekani anaitwa BRIAN NICODEMA ila waafrica wanajua huyu ndo yesu

Фото профиля Pax
Pax1 год назад

Alafu mungu akasema mungu wangu wasamehe hawajui walitendalo😀

Фото профиля Mshanga P J
Mshanga P J1 год назад

Fumbo la Imani

Фото профиля Ignas andrea
Ignas andrea1 год назад

uyu anashida ya akili kiufup nikumwacha aendelee na maisha yake

Фото профиля Kwitega CO.
Kwitega CO.1 год назад

Hana akili huyu jamaa, 😂 Anarukia mambo asiyoyajua. Aende akasome Mpango wa ukombozi, Eti anachoka akili utafikili Hata akili anazo ktk maarifa ya kumjua Mungu. Soma upate maarufa😂

Похожие видео