
Simba Sports Club
@SimbaSCTanzania • 2,002,084 subscribers
The official account of Simba Sports Club. (Follow English account - @SimbaSC_EN)
Shorts
Videos

Malengo makubwa kuelekea msimu mpya yanahitaji maandalizi makubwa, maandalizi ambayo yanahitaji wachezaji wapya wenye thamani kubwa kuja kuongeza nguvu yenye matokeo chanya ndani ya kikosi cha Simba SC. Haikuwa rahisi kuwapata lakini hakuna linaloshindikana kwa Simba hii. Tuliwataka, tumewapata na sasa wako tayari kutambulishwa kwa mamilioni ya Wanasimba duniani kote. Kuwa wa kwanza kuona sajili hizi kubwa kwa kutumia SIMBA APP 📲 Pakua kupitia Play Store au App Store na lipia sasa. #NguvuMoja
Simba Sports Club18,336 просмотров • 4 дней назад

Matukio ya ‘kazi maalumu’ yaliyofanywa na vijana ya chui. #NguvuMoja
Simba Sports Club28,254 просмотров • 24 дней назад

𝐂𝐇𝐀𝐌𝐀 𝐅𝐎𝐑 𝐅𝐈𝐅𝐀 𝐏𝐔𝐒𝐊Á𝐒 𝐀𝐖𝐀𝐑𝐃. Dunia imeona bao bora zaidi mwaka huu ni kutoka kwa Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama. Utamu wa bao hili zaidi ni kumfunga mtani na kuchangia mtu kuliwa kichwa. Jambo la kufanya kwa Mwanasimba ni kutag akaunti ya FIFA ujumbe uwafikie mapemaaaaa!!! #NguvuMoja
Simba Sports Club37,692 просмотров • 2 месяцев назад

Goli bora la msimu wa 2025/26 limeshapatikana 🤩 #NguvuMoja
Simba Sports Club32,553 просмотров • 2 месяцев назад
3:12
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Huu ndio msimamo wa Klabu ya Simba uliobarikiwa na viongozi wote. #WenyeNchi #NguvuMoja
Simba Sports Club159,167 просмотров • 1 год назад

🎥 Kiwango cha Kibu Denis akiwa mazoezini kimemkosha kocha Oliviera na kuamua kumchagua kuwa mchezaji bora wa mazoezi ya jana na hata kumpa zawadi. Kocha amesema huo ni utaratibu wake wa kutoa zawadi kwa mchezaji anayemvutia. Hapa anaeleza kilichomfurahisha kwa Kibu. #NguvuMoja
Simba Sports Club270,202 просмотров • 3 лет назад

Kutoka kina kirefu cha Bahari ya Hindi, sanduku la Usajili 2025/26 limewafikia Watu wa Republic (kitengo cha Habari na Mawasiliano Msimbazi). Mabibi na mabwana sasa tuko tayari kushusha Simba hatari wa kula maadui wa nchi kavu 🐅🦅🍦👮♂️🍇🐕🦍 na majini / matopeni 🐸 📲 Lipia Simba App, jiunge na Simba Mastori au Instagram Subscriptions ili kuwa wa kwanza kupata raha hizi. #NguvuMoja
Simba Sports Club94,964 просмотров • 11 месяцев назад

“Mwamuzi atakayeharibu huo mchezo, sio tu kwamba ataondoka kwenye mpira maisha, tutamfungulia na mashtaka ili tumfunge, hatutakuwa na masihara, hilo mimi nalizungumza wazi kwasababu sehemu kubwa wanaotuletea matatizo ni wao.” - Rais wa TFF, Wallace Karia.
Simba Sports Club39,453 просмотров • 4 месяцев назад

Huyu kijana anapewa chakula kweli? 🤔 asije tuletea shida na majirani zetu Uganda. #NguvuMoja
Simba Sports Club38,652 просмотров • 4 месяцев назад

“Hili linaweza kushinda tuzo ya goli bora la mwaka duniani.”- haya sio maneno ya semaji au admin, haya ni maneno ya mchezaji wa zamani wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Rio Ferdinand kuhusu uzuri wa bao la Clatous Chota Chama dhidi ya mtani Young Africans. Basi kuna watu wanaumia 😂😂😂 🎥 Clouds Media #NguvuMoja
Simba Sports Club16,638 просмотров • 2 месяцев назад

Mwalimu alivyomchapa bakora mtani inayowauma hadi kesho, na kutupa ubingwa wa Kombe la Muungano 2026. #NguvuMoja
Simba Sports Club14,304 просмотров • 1 месяц назад

Neno la Clatous Chama kwenda kwa Wanasimba. #WenyeNchi #NguvuMoja
Simba Sports Club120,479 просмотров • 2 лет назад

Muda wa kazi kwa Che Malone, Onana, Kramo na Baleke 💪 #NguvuMoja
Simba Sports Club131,645 просмотров • 3 лет назад