#tonetone

KATORO – GEITA. Viwanja vya SATELİTE. CHADEMA tumekusanya #ToneTone kiasi cha TZS 2,071,000. MSAJILI USITUTISHE. Huwezi kamwe kutupangia namna gani tushughulike na MaCCM. RUZUKU ya kiwaki HATUTAKI. Angusha TONE lako hapo kupitia 0744446969; Jina - CHADEMA HQ. #PeoplesPower. 👊🏾
Martin Maranja Masese26,127 Aufrufe • vor 1 Monat

Viwanja vya RELINI, ARUSHA MJINI. CHADEMA tumekusanya kiasi cha TZS 2,815,000. Hadi sasa ARUSHA imevunja rekodi ya #ToneTone tangu kuanza kwa oparesheni #KatibaMpya #FreeTunduLissu. MSAJILI USITUTISHE. Huwezi kamwe kutupangia namna gani tushughulike na MaCCM. Wananchi ndiyo wataendesha CHADEMA kwa fedha zao. Angusha TONE lako kupitia 0744 44 69 69; Jina - CHADEMA HQ. #PeoplesPower. 👊🏾
Martin Maranja Masese20,180 Aufrufe • vor 1 Monat

Viwanja vya Nyankumbu, Geita Mjini vimeongea! Zaidi ya TZS 2,559,000 zimepatikana kupitia #ToneTone. MaCCM hayataki kuamini kwamba chama cha siasa ambacho ni mali ya umma Tanzania ni CHADEMA. Angusha TONE lako hapo kupitia 0744446969; Jina - CHADEMA HQ. #PeoplesPower. 👊🏾
Martin Maranja Masese20,292 Aufrufe • vor 1 Monat

MOSHI - SOKO LA MANYEMA, CHADEMA tumekusanya #ToneTone kiasi cha Tsh. 1,095,000/-….MSAJILI USITUTISHE.. huwezi kamwe kutupangia safu ya viongozi wa chama chetu.. RUZUKU ya kiwaki HATUTAKI. Angusha TONE lako hapo kupitia 0744446969; Jina - CHADEMA HQ. People’s Power. 👊🏾
Martin Maranja Masese36,655 Aufrufe • vor 1 Jahr

Leo katika mkutano wa ARUSHA - Soko Kuu, CHADEMA tumekusanya #ToneTone kutoka kwa wananchi kiasi cha Tsh. 1,330,500/-….MSAJILI sikia.. USITUTISHE.. huwezi kutupangia safu ya viongozi wetu.. tutaita Baraza Kuu na kuwathibitisha. RUZUKU ya kiwaki HATUTAKI. Angusha TONE lako hapo.
Martin Maranja Masese36,292 Aufrufe • vor 1 Jahr

#ToneTone Leo ARUSHA imekusanywa jumla 1,330,500/=. Hii haijawahi kutokea tangu #ToneTone ianze kwenye mikutano. ARUSHA imetisha kama kawaida TENA. Show love kwa pipo za CHUGA kwa kusambaza hizi video WAKOLONI WEUSI na MSAJILI wapasuke. REPOST 200. #NoReformsNoElection #TUTAKUWEPO🫵🏾😎
SIR TIVA22,263 Aufrufe • vor 1 Jahr

WEMA NI AKIBA NA UBAYA NI HAZINA CHANGIA #TONETONE ELIMU YA #NOREFORMSNOELECTION INAKWENDA KUANZA KANDA YA KASKAZINI (Manyara,Arusha,Kilimanjaro&Tanga) 0744446969 CHADEMA HQ, SOTE TUCHANGIE MABADILIKO, TANZANIA INAHITAJI UKOMBOZI WA FIKRA TU NA UONGOZI BORA
Patrick Ole Sosopi19,579 Aufrufe • vor 1 Jahr



