Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
#ToneTone Musoma Mjini.
56,798 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)
11 Yorum

Kuna raia anasikika hapo anasema LETA JABA, watanzania wote ni chadema aise

take the journey

Au chadema wanatembea na wasanii kisiri Siri 🤔🤔🤔

Sadaka ya ukombozi tuendelee kuchangia tone tone

Yanga baada ya kipindi cha bakuli, ilikuja juu hadi sasa ni tishio hadi madunduka walikimbia mechi. Sijui nilitaka kusema nini, ila mpitisha bakuli asidharauliwe 😅,

Ichi wanachofanya chadema kina nguvu sana …imani ya mtu inajengwa kwa anachokitoaa na ndio maana halisi ya chama cha wananchi

Sadaka watu wanaitoa kwa moyo Kwel Kwel

kwa moyo wote

@Sativa255 Hii ndio chadema eti wanasema chadema itakufa watakufa wao wataiacha

"Chadema Ndio Tumaini la Wananchi Wazalendo"

Hv CCM wanajisikiaje kuona wananchi ndio wanakiendesha chama cha chadema wakat wao wanahonga kuhamisha watu chadema😆😆😂😂
