Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Godbless Lema kanyooka sana
10 Kommentare

Naondoka na hii 👇🏽 "Hii Biashara ya kupenda Mpira kuliko Maisha ya watu, sio nzuri" 🙌🏽

Naam

Ameongea kwa hisia sana "Duniani hata ukipewa kila kitu, ipo siku utapita"

Hii ndiyo tofauti ya wanaopenda kusema ukweli na wanaopenda kusifiwa

Kuna point ya msingi hapo mwishoni kasema watu wanathamini mpira kuliko maisha

Mmeona Sasa Faida ya kusoma Hy ndy Akili ya Elimu unaongea kwa fact & Evidence with vivid Exemple🫡

Inasikitisha sana aisee sasa uki ongea ukweli tu wanakuchukua sijui tuna elekea wapi aisee

Kila sentence ni bakora, kila akichomoza anashindiliwa nuclear. aisee Masauni kajuta kwenda pale kama ana moyo wa nyama leo halali, ila kama kajaa kibri atalala

Nikiwambiaa watu wa kaskazini Huwa atujui kumununyaa manenoo ni straight

Jamaa kaamua asipindishe
