Sensitive content
This media may contain sensitive content.
Loading video...
Video Failed to Load
HII NCHI HAINA RAIS
75,895 views • 1 year ago •via X (Twitter)
10 Comments

Kosa lake ni kusema ukweli ndio mana anafukuzwa lakin hata kama itakuwa hivo ukweli umefika tumejua nani mmiliki wa genge la utekaji.

where space meets sound

Hatari Sana Kuwa na Rais wa Namna Hii hawezi kubeba Mambo makubwa tusidanganyane Nchi inahitaji kiongozi

😂😂😂😂...rais hajui kujibu kwa hoja.. anachambana.. bhas nasubiria jumapili ifike 😂😂😂

Hakuna Raisi humu

@Sativa255 unganisha hapa naile ya nileteni gwajima nileteni gwajimaaaaaa nileteni gwajimaaaaaa 😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹

CCM wasipomuondoa huyu kazi wanayo! Huyu ndiye atakayeiondoa CCM kwa itikadi hizi

Kumamake huyu shetan wa kike dah hapa hakuna raisi kabisa yani tulipigwa kweupe kubababake tukisema hapa hakuna raisi wanatuona hazimo nadhan wanajionea wenyewe

Ni Rasmi kwamba Rais ndiye anayeratibu huu utekaji

Hiki chama ukite ni cha wazungu baada ya ukoroni wakaweka wakala wao ambae ni CCM
