Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Hii nchi ina sheria?🤔

79,569 views • 2 years ago •via X (Twitter)

10 Comments

International Herb's profile picture
International Herb2 years ago

Alichosema ni kweli. Wala msimbishie. Ccm wanatamba sana na ndo maana hata miharifu imejificha huko kwa kujua italindwa na mfumo. Yale maccm yanasafirisha wasomali kwa V8 ulishaona yamepelekwa Mahakamani?

Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿's profile picture
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿2 years ago

Mambo ya kukemea kwa nguvu haya. Tusipokuwa makini tutafikia hatua watu wanazikana kwa itikadi. Deplorable conditions 🙄🙄🙄

CHILLEH MR SHITCOIN's profile picture
CHILLEH MR SHITCOIN1 year ago

Yuko Sahihi Kabisaaaa..Kaongea Ukweli Ambao Ukiisikia Unaweza Sema huyu Vipi..? 😂😂😂🏃🏃

Drunken Masta 🙉's profile picture
Drunken Masta 🙉2 years ago

Kada anachokisema ndio ukweli wenyewe WanaCCM Wana enjoy Maisha hata wakifanya makosa ya jinai hawaguswi hizi Sheria wao Wala haziwahusu,pongezi Kwa Mwenyekiti wa chama kwa kusimamia jambo hili na utekezaji wake unafanyika bila kusuasua 👏

Dua Lyamzito 🇹🇿's profile picture
Dua Lyamzito 🇹🇿1 year ago

Na chaajabu sio msemaji tuu,Ila wanaomshangilia na kumpigia makofi ndo wanatia hasira zaidi

Samwel's profile picture
Samwel2 years ago

Anaongea ukweli kwani yule mwenyekiti wa vijana Kagera alifanywaje @SuluhuSamia vipi hapo sheria ukiwa @ccm_tanzania hazikuhusu ila kwingine utasakwa mpaka uvunguni malipo ni hapa hapa mama na sisi tunae Mungu ipo siku vilio vya ndugu zetu wanaopotea kama kina Kombo vitasikika

TANZANIA ❤️❤️'s profile picture
TANZANIA ❤️❤️2 years ago

Watanzania leo tumeamia kwa Aziza key mara Deborah kufuli. Vitu vya haki na maendeleo huwezi ona watu wanaangaika navyo

Mdunguaji's profile picture
Mdunguaji1 year ago

Huyu Mzee haongei Uongo hata kidogo,Mahakama Jeshi la Polisi wote hawa wanaburuzwa tu na Maccm,bila ya Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi tuna Safari ndefu sana kama Taifa,tutaendelea kutawaliwa Kibabe na Maccm mpaka tujute kuzaliwa

Glory's profile picture
Glory2 years ago

Lawless country ccm wanawadharau sana watanzania

Charles J Swai.'s profile picture
Charles J Swai.2 years ago

Ina sheria Kwa chadema tuu ukiwa mwana ccm wew upo juu ya sheria

Related Videos

HII NCHI HAINA RAIS
0:48

Sensitive content

HII NCHI HAINA RAIS

Mchokozi !!

75,895 views • 1 year ago