Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Hii nchi ina sheria?🤔

79,573 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля International Herb
International Herb2 лет назад

Alichosema ni kweli. Wala msimbishie. Ccm wanatamba sana na ndo maana hata miharifu imejificha huko kwa kujua italindwa na mfumo. Yale maccm yanasafirisha wasomali kwa V8 ulishaona yamepelekwa Mahakamani?

Фото профиля Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿2 лет назад

Mambo ya kukemea kwa nguvu haya. Tusipokuwa makini tutafikia hatua watu wanazikana kwa itikadi. Deplorable conditions 🙄🙄🙄

Фото профиля CHILLEH MR SHITCOIN
CHILLEH MR SHITCOIN2 лет назад

Yuko Sahihi Kabisaaaa..Kaongea Ukweli Ambao Ukiisikia Unaweza Sema huyu Vipi..? 😂😂😂🏃🏃

Фото профиля Drunken Masta 🙉
Drunken Masta 🙉2 лет назад

Kada anachokisema ndio ukweli wenyewe WanaCCM Wana enjoy Maisha hata wakifanya makosa ya jinai hawaguswi hizi Sheria wao Wala haziwahusu,pongezi Kwa Mwenyekiti wa chama kwa kusimamia jambo hili na utekezaji wake unafanyika bila kusuasua 👏

Фото профиля Dua Lyamzito 🇹🇿
Dua Lyamzito 🇹🇿2 лет назад

Na chaajabu sio msemaji tuu,Ila wanaomshangilia na kumpigia makofi ndo wanatia hasira zaidi

Фото профиля Samwel
Samwel2 лет назад

Anaongea ukweli kwani yule mwenyekiti wa vijana Kagera alifanywaje @SuluhuSamia vipi hapo sheria ukiwa @ccm_tanzania hazikuhusu ila kwingine utasakwa mpaka uvunguni malipo ni hapa hapa mama na sisi tunae Mungu ipo siku vilio vya ndugu zetu wanaopotea kama kina Kombo vitasikika

Фото профиля TANZANIA ❤️❤️
TANZANIA ❤️❤️2 лет назад

Watanzania leo tumeamia kwa Aziza key mara Deborah kufuli. Vitu vya haki na maendeleo huwezi ona watu wanaangaika navyo

Фото профиля Mdunguaji
Mdunguaji2 лет назад

Huyu Mzee haongei Uongo hata kidogo,Mahakama Jeshi la Polisi wote hawa wanaburuzwa tu na Maccm,bila ya Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi tuna Safari ndefu sana kama Taifa,tutaendelea kutawaliwa Kibabe na Maccm mpaka tujute kuzaliwa

Фото профиля Glory
Glory2 лет назад

Lawless country ccm wanawadharau sana watanzania

Фото профиля Charles J Swai.
Charles J Swai.2 лет назад

Ina sheria Kwa chadema tuu ukiwa mwana ccm wew upo juu ya sheria

Похожие видео

HII NCHI HAINA RAIS
0:48

Sensitive content

HII NCHI HAINA RAIS

Mchokozi !!

75,909 просмотров • 1 год назад