Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

66,329 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

Mtafiti Huru's profile picture
Mtafiti Huru1 year ago

#NoReformsNoElection #HakunaMabadilikoHakunaUchaguzi

Rock Paper Sizzle's profile picture
Rock Paper Sizzle2 years ago

💪 Merica, we're taking it back. 💯 You like Trump, you know it, time to show it. ✅ T's for Trump here:

He’s Allen.'s profile picture
He’s Allen.1 year ago

Kiukweli, hoja ya no reforms no election ni hoja nzito na tunapaswa kusimamia hapo. Sababu ukweli upo wazi.

New Face's profile picture
New Face1 year ago

Leo anasimama na kusema hakuna wizi wa kura. Sasa wale wenye ubongo mdogo kama sisimizi watakuja hapa na kupindisha kauli. Wananchi tunataka kura zetu ziseme. Sio viongozi waseme nani atakuwa kiongozi wetu. Wananchi tumeshafanya maamuzi tunataka chama kingine kishike dola

Godson Salema's profile picture
Godson Salema1 year ago

. Hakuna haja yakuwa na siku ya wajinga.. serikali imetufanya wajinga kila siku

TATA MTANGANYIKA's profile picture
TATA MTANGANYIKA1 year ago

@SuluhuSamia aione hii ajue mitandao ina Kila ushahidi na awe muungwana tu tufanyae mageuzi @ACTwazalendo @zittokabwe @ChademaTz NCCR NA WAJINGA WENGINE WASIMPE KICHWA MAANA NI MADEBE TUPU

Saint 🧚's profile picture
Saint 🧚1 year ago

Anaitwa Mzee Masumbuko

Peter Ernest's profile picture
Peter Ernest1 year ago

Amesaliti Kambi ya wezi au wanataka kututoa kwenye reli

#cardinal 🏀's profile picture
#cardinal 🏀1 year ago

Kasharamba asali anasema mabadiliko yameshafanyika kwenye tume ya uchaguzi😂

Mwananchi wa Kawaida's profile picture
Mwananchi wa Kawaida1 year ago

Ni Clone ya wasira😁

grtsd inter's profile picture
grtsd inter1 year ago

Huyu ni Wasira halisia aliepo saizi kama Makamu mkiti ccm ni aliechakachuliwa na ccm na kuwa kama kituko au roboti

Related Videos