Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Huyu Mzee ni nani ?

66,329 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля Mtafiti Huru
Mtafiti Huru1 год назад

#NoReformsNoElection #HakunaMabadilikoHakunaUchaguzi

Фото профиля Rock Paper Sizzle
Rock Paper Sizzle1 год назад

💪 Merica, we're taking it back. 💯 You like Trump, you know it, time to show it. ✅ T's for Trump here:

Фото профиля He’s Allen.
He’s Allen.1 год назад

Kiukweli, hoja ya no reforms no election ni hoja nzito na tunapaswa kusimamia hapo. Sababu ukweli upo wazi.

Фото профиля New Face
New Face1 год назад

Leo anasimama na kusema hakuna wizi wa kura. Sasa wale wenye ubongo mdogo kama sisimizi watakuja hapa na kupindisha kauli. Wananchi tunataka kura zetu ziseme. Sio viongozi waseme nani atakuwa kiongozi wetu. Wananchi tumeshafanya maamuzi tunataka chama kingine kishike dola

Фото профиля Godson Salema
Godson Salema1 год назад

. Hakuna haja yakuwa na siku ya wajinga.. serikali imetufanya wajinga kila siku

Фото профиля TATA MTANGANYIKA
TATA MTANGANYIKA1 год назад

@SuluhuSamia aione hii ajue mitandao ina Kila ushahidi na awe muungwana tu tufanyae mageuzi @ACTwazalendo @zittokabwe @ChademaTz NCCR NA WAJINGA WENGINE WASIMPE KICHWA MAANA NI MADEBE TUPU

Фото профиля Saint 🧚
Saint 🧚1 год назад

Anaitwa Mzee Masumbuko

Фото профиля Peter Ernest
Peter Ernest1 год назад

Amesaliti Kambi ya wezi au wanataka kututoa kwenye reli

Фото профиля #cardinal 🏀
#cardinal 🏀1 год назад

Kasharamba asali anasema mabadiliko yameshafanyika kwenye tume ya uchaguzi😂

Фото профиля Mwananchi wa Kawaida
Mwananchi wa Kawaida1 год назад

Ni Clone ya wasira😁

Фото профиля grtsd inter
grtsd inter1 год назад

Huyu ni Wasira halisia aliepo saizi kama Makamu mkiti ccm ni aliechakachuliwa na ccm na kuwa kama kituko au roboti

Похожие видео