ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

Ila nanga ๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ

24,982 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 1 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

4 ๆก่ฏ„่ฎบ

Nassib Mkomwa ็š„ๅคดๅƒ
Nassib Mkomwa1 ๅนดๅ‰

๐Ÿ—ฃ"Changamoto ni sehemu ya maisha yetu na kuhusu Endorsement mamlaka ndio itatoa maelezo unajua mwanzo Endorsement ilikuwa inatolewa kwa mtu zaidi ya mmoja ila sasahivi mambo yamebadilika Chama cha soka ama klabu kikitoa Endorsement hakitoi tena kwa mtu mwingine."- Ally Mayayi.

Zee la Vyeti (PhD) ็š„ๅคดๅƒ
Zee la Vyeti (PhD)1 ๅนดๅ‰

Kunazidi Kuchangamka

FELIX JASON ็š„ๅคดๅƒ
FELIX JASON1 ๅนดๅ‰

Mgombea wa kiti cha Urais wa TFF, Richard Shija amesema atampeleka kwenye kamati ya maadili na kamati ya Rufaa Rais wa TFF, Wallace Karia. "Rais aliyepo madarakani anapochukua Endorsement zote maana yake anazuia wagombea wasiingie kwenye uchaguzi" ๐ŸŽ™๏ธ Richard Shija

Simba Sports Club ็š„ๅคดๅƒ
Simba Sports Club1 ๅนดๅ‰

Viingilio vya mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu tukiwa wenyeji. #NguvuMoja

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘