Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

29,581 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

Latto 𝕏's profile picture
Latto 𝕏1 year ago

Elon Musk wa TANDALE, Anaona kuwa Tajiri number 1, Duniani ni kama kununua Rolls Royce.. Ila RUANGWA WAMEMKATAA LIVE 😂😂😂 Sijapenda..... Video kwa Comments👇🏾

PaYRoLL🪙's profile picture
PaYRoLL🪙1 year ago

Kuwa tajiri namba moja hayo sio malengo😅 akina Mark Zuckerberg, Elon Musk, Jeff Bezos, William Gates, ndoto zao zilikua kuboresha huduma walizoanzisha kuwafikia wengi. Wakajikuta wapo hapo walipo. Ndo maana hutamuona Bill Gates akifadhaika kushuka top 3. Namba zinabadilika tu

JunTao(韬韬)'s profile picture
JunTao(韬韬)1 year ago

Jamaa muongo muongo uyuuu kaah😂🙌

Glory🌝's profile picture
Glory🌝1 year ago

Kuna jamaa anasema huwezi😂

Denis Bunyoga's profile picture
Denis Bunyoga1 year ago

Fact check - mwezi upo Karibu zaidi na Dunia kuliko Nyota. Yamkini alimaanisha lenga Nyota ukikosa utaangukia Mwezi.

Shamba Boy's profile picture
Shamba Boy1 year ago

Masanii wenu ameanza kuwa motivation speaker ghafla 😂

Rule of Law's profile picture
Rule of Law1 year ago

rais wa kwanza dunian hawezi kutokq nnchi maskini ina maana akiwa namba moja tajira dunian yy qnakua tajiri kuliko nnçhi yake 😀

O.B.M's profile picture
O.B.M1 year ago

Sasa kununua ros ros sio ndio kua tajiri no 1

hermano 999's profile picture
hermano 9991 year ago

Hapo hpo tu Kuna raia wamemwambia hawezi live

chic🦅's profile picture
chic🦅1 year ago

rose rose ni nini icho😂

Deewan...'s profile picture
Deewan...1 year ago

Wahuni hawataki kuelewa.😂😂😂😂

Related Videos