Loading video...
Video Failed to Load
Msikilize alietekwa 20.2 (JUZI).
171,995 views • 1 year ago •via X (Twitter)
10 Comments

Tulikuwa tushampoteza ndugu yetu uyu kama sio kuonekana au kubuma kwa tukio lile la utekaji. Ona Polisi walivojitokeza na kusema alikuwa anajihusisha na matukio ya uhalifu kwa kutumia pikipiki isiyo na namba. Ana bahati kubwa sana uyu ndugu yetu. Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda aishi sana🙏🙏❤.

Awe tuu makini. Naogopa ya CHAULA.

Kwanza kwanini wamfate na gari ambayo sio ya police ?? Jamaa kapona sababu ya kelele za wananchi

Nataman siku moja wajichanganye Kwa mtu mwenye pipe ama Beto vifumuliwe

Samia akisimama kwenye Podiums ana kazi ya kupongeza polisi kwa kazi nzuri. Viongozi wabinafsi sana

Maelezo ya polisi na maelezo ya muhusika 😂

Tukio lisinge recodiwa hawa Polisi Hio pikipiki WANGEICHUKUA na huyo dogo wangemuuwa

Tz hii😱 pikipiki kutokuwa na plate number inabidi mtu akamatwe na gari private na maaskari wasio trafiki na wakiwa bila sare na wakiwa na silaha za moto tena kwa nguvu kubwa hivo🙄🙄 mmh huyu hakupaswa hata kupelekwa hata kituoni nahisi ni kwa video iliyosambaa na watu kusemea🤔

Huyo ndio wakushughilikiwa sasa yaani mmempiga mtu barabarani na kituoni tena mnaanza kumpiga na machepe na mbao tena haki za binadamu zipo wapi ndio jinsi jeshi la polisi linavyotenda kazi hivyo kama sio uhuni ni nini huo.

Tulisema polisi ndo wanateka watu halafu IGP bado yuko ofsn
