Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

39,466 views • 1 year ago •via X (Twitter)

30 Comments

Geofrey Enock's profile picture
Geofrey Enock1 year ago

ccm Chama Kikongwe Mdomoni Tu Lkn Lissu Akae Pale Samia Pale Tume Huru Asubuhi ccm Wanalia hii Nawaowanajua ndio Maana Wanashikwa nakigugumizi mziki wa Lissu ni Mziki Mnene Jk mwenyeewe Ajua Mziki wa LISSU

Hamenya Syanya's profile picture
Hamenya Syanya1 year ago

Ndo anazidi kuumbuka 🫵🏾😂

News behind News's profile picture
News behind News1 year ago

Lowassa alikatwa jina kwasababu alianza kampeni mapema. Samia ameanza kampeni January anavunja katiba

chenzah france's profile picture
chenzah france1 year ago

Utasikia usichanganye Siasa na dini!!

Bahati's profile picture
Bahati1 year ago

Samia anataka kufanya alichofanya magufuli 2020. Maana alitoka hewani na kusema amewafekelea mbali. Akumbuke mwaka huu mambo yamebakilika.

cheliandavido's profile picture
cheliandavido1 year ago

Waandishi wa Tanzania hawana uwezo wa kuhoji haya unayowaagiza wanachoweza ni kunukuu habari sio kudadisi habari wanafuata bahasha na uchawa kwenye matukio.

Yusuph Abel's profile picture
Yusuph Abel1 year ago

#NoReformsNoElection 🇹🇿✊

MLK, jr.'s profile picture
MLK, jr.1 year ago

@KatibaMpyaTz_ Hi vita Tutashinda sisi wananchi

Abihudi Mbekomize's profile picture
Abihudi Mbekomize1 year ago

Dah tunayaona pia naomba kuuliza mbona plate namba Zina andikwa ssh 25 30 je ikitokea Gali limepata ajali au likagonga mtu utatoaje utambulisho police maana Gali ziko nyingi za ivo je police awajaona ilo au linaluhusiwa nasi tuweke

Msaranga's profile picture
Msaranga1 year ago

Hizo baiskeli na pikipiki, matokeo yake ndo Hawa wachina wanaoingia na kuishi nchini wanavyotaka uku mamlaka zikiwaangalia kama haziwaoni

Mwanaharakati🇹🇿's profile picture
Mwanaharakati🇹🇿1 year ago

Bashe ni mwizi tu

happy nation's profile picture
happy nation1 year ago

Nchi imeshaoza viongozi hawachaguliwi ila wanaongoza wananchi hawawapendi ila wanalazimishwa kwa faida ya watu wachache walioko kwenye mfumo ulio feli No reforms no election

Lazaro Kayombo's profile picture
Lazaro Kayombo1 year ago

Hii nch Ina usenge sana

Abdon Missoji's profile picture
Abdon Missoji1 year ago

Mwa sisis wa taifa hili alisema katiba ni kama vazi vazi lolote Lina choka ni vyema ukabalidilisha ili uonekane tofauti sasa wamenga'nga'nia vazi lilelile Hadi uzee ni aibu

loveismyreligion's profile picture
loveismyreligion1 year ago

alafu @zittokabwe @ACTwazalendo @PMadeleka wajinga hawa wanasema watalinda kura

Richard Marwa's profile picture
Richard Marwa1 year ago

Jinai haijawahi kuoza ipo siku watakuja kuwajibika watahojiwa na watajibu na huyo SSH hatakuwepo

Mtambo wa gongo's profile picture
Mtambo wa gongo1 year ago

Hapa takukuru na tume ya uchaguzi wanapita kama wanaaga maiti

Jo!'s profile picture
Jo!1 year ago

Anae hoji mwenyewe kama haelewi somo kabisa! Kazi kweli kweli!

KENNEDY OBUYE's profile picture
KENNEDY OBUYE1 year ago

@ikulumawasliano @MsigwaGerson @mwigulunchemba1 @Nnauye_Nape @JMakamba @ridhiwankikwete @SMWasira

Wa The Rock's profile picture
Wa The Rock1 year ago

Kwanini kipindi hiki?

Hamidu Lihambalimu's profile picture
Hamidu Lihambalimu1 year ago

Tunawahitaji wazee kama hawa

freequence's's profile picture
freequence's1 year ago

Kanyoosha vizuri sana

Ayattolah khamenei's profile picture
Ayattolah khamenei1 year ago

Mapadre wote duniani wanakuaga na akili sna

Man255's profile picture
Man2551 year ago

Vitu ninavyovipenda mimi

Sir. Benjamin Kimbwereza Magonda CBS 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪's profile picture
Sir. Benjamin Kimbwereza Magonda CBS 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪1 year ago

#NoReformsNoElection Hapo sasa, swali nzuri sana ni kwanini CCM wanaogopa kufanya reforms kabla ya uchaguzi utaofanyika October?

it's Sam's profile picture
it's Sam1 year ago

Anataka wadanganya CCM huyu msikubali

God is my Shepherd's profile picture
God is my Shepherd1 year ago

Shikamoo baba

Babu lohaa's profile picture
Babu lohaa1 year ago

Akili nyingi

KENNEDY OBUYE's profile picture
KENNEDY OBUYE1 year ago

@judiciarytz @tanpol @jwtztaarifa @orpptanzania @TumeUchaguziTZ @jmkikwete @nchimbie @SuluhuSamia @CCM

Grace Upon Grace!'s profile picture
Grace Upon Grace!1 year ago

✔✔

Related Videos