Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Kanyoosha vizuri

39,466 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 30

Фото профиля Geofrey Enock
Geofrey Enock1 год назад

ccm Chama Kikongwe Mdomoni Tu Lkn Lissu Akae Pale Samia Pale Tume Huru Asubuhi ccm Wanalia hii Nawaowanajua ndio Maana Wanashikwa nakigugumizi mziki wa Lissu ni Mziki Mnene Jk mwenyeewe Ajua Mziki wa LISSU

Фото профиля Hamenya Syanya
Hamenya Syanya1 год назад

Ndo anazidi kuumbuka 🫵🏾😂

Фото профиля News behind News
News behind News1 год назад

Lowassa alikatwa jina kwasababu alianza kampeni mapema. Samia ameanza kampeni January anavunja katiba

Фото профиля chenzah france
chenzah france1 год назад

Utasikia usichanganye Siasa na dini!!

Фото профиля Bahati
Bahati1 год назад

Samia anataka kufanya alichofanya magufuli 2020. Maana alitoka hewani na kusema amewafekelea mbali. Akumbuke mwaka huu mambo yamebakilika.

Фото профиля cheliandavido
cheliandavido1 год назад

Waandishi wa Tanzania hawana uwezo wa kuhoji haya unayowaagiza wanachoweza ni kunukuu habari sio kudadisi habari wanafuata bahasha na uchawa kwenye matukio.

Фото профиля Yusuph Abel
Yusuph Abel1 год назад

#NoReformsNoElection 🇹🇿✊

Фото профиля MLK, jr.
MLK, jr.1 год назад

@KatibaMpyaTz_ Hi vita Tutashinda sisi wananchi

Фото профиля Abihudi Mbekomize
Abihudi Mbekomize1 год назад

Dah tunayaona pia naomba kuuliza mbona plate namba Zina andikwa ssh 25 30 je ikitokea Gali limepata ajali au likagonga mtu utatoaje utambulisho police maana Gali ziko nyingi za ivo je police awajaona ilo au linaluhusiwa nasi tuweke

Фото профиля Msaranga
Msaranga1 год назад

Hizo baiskeli na pikipiki, matokeo yake ndo Hawa wachina wanaoingia na kuishi nchini wanavyotaka uku mamlaka zikiwaangalia kama haziwaoni

Фото профиля Mwanaharakati🇹🇿
Mwanaharakati🇹🇿1 год назад

Bashe ni mwizi tu

Фото профиля happy nation
happy nation1 год назад

Nchi imeshaoza viongozi hawachaguliwi ila wanaongoza wananchi hawawapendi ila wanalazimishwa kwa faida ya watu wachache walioko kwenye mfumo ulio feli No reforms no election

Фото профиля Lazaro Kayombo
Lazaro Kayombo1 год назад

Hii nch Ina usenge sana

Фото профиля Abdon Missoji
Abdon Missoji1 год назад

Mwa sisis wa taifa hili alisema katiba ni kama vazi vazi lolote Lina choka ni vyema ukabalidilisha ili uonekane tofauti sasa wamenga'nga'nia vazi lilelile Hadi uzee ni aibu

Фото профиля loveismyreligion
loveismyreligion1 год назад

alafu @zittokabwe @ACTwazalendo @PMadeleka wajinga hawa wanasema watalinda kura

Фото профиля Richard Marwa
Richard Marwa1 год назад

Jinai haijawahi kuoza ipo siku watakuja kuwajibika watahojiwa na watajibu na huyo SSH hatakuwepo

Фото профиля Mtambo wa gongo
Mtambo wa gongo1 год назад

Hapa takukuru na tume ya uchaguzi wanapita kama wanaaga maiti

Фото профиля Jo!
Jo!1 год назад

Anae hoji mwenyewe kama haelewi somo kabisa! Kazi kweli kweli!

Фото профиля KENNEDY OBUYE
KENNEDY OBUYE1 год назад

@ikulumawasliano @MsigwaGerson @mwigulunchemba1 @Nnauye_Nape @JMakamba @ridhiwankikwete @SMWasira

Фото профиля Wa The Rock
Wa The Rock1 год назад

Kwanini kipindi hiki?

Фото профиля Hamidu Lihambalimu
Hamidu Lihambalimu1 год назад

Tunawahitaji wazee kama hawa

Фото профиля freequence's
freequence's1 год назад

Kanyoosha vizuri sana

Фото профиля Ayattolah khamenei
Ayattolah khamenei1 год назад

Mapadre wote duniani wanakuaga na akili sna

Фото профиля Man255
Man2551 год назад

Vitu ninavyovipenda mimi

Фото профиля Sir. Benjamin Kimbwereza Magonda CBS 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Sir. Benjamin Kimbwereza Magonda CBS 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪1 год назад

#NoReformsNoElection Hapo sasa, swali nzuri sana ni kwanini CCM wanaogopa kufanya reforms kabla ya uchaguzi utaofanyika October?

Фото профиля it's Sam
it's Sam1 год назад

Anataka wadanganya CCM huyu msikubali

Фото профиля God is my Shepherd
God is my Shepherd1 год назад

Shikamoo baba

Фото профиля Babu lohaa
Babu lohaa1 год назад

Akili nyingi

Фото профиля KENNEDY OBUYE
KENNEDY OBUYE1 год назад

@judiciarytz @tanpol @jwtztaarifa @orpptanzania @TumeUchaguziTZ @jmkikwete @nchimbie @SuluhuSamia @CCM

Фото профиля Grace Upon Grace!
Grace Upon Grace!1 год назад

✔✔

Похожие видео