Sensitive content

This media may contain sensitive content.

Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

Kumbe si jepesi tunavyodhani.

45,781 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)

10 Kommentare

Profilbild von Mamwavi_Nkabasia
Mamwavi_Nkabasiavor 1 Jahr

Mpina alikuwa Naibu Waziri wa fedha kabla ya kuhamishiwa Mifugo na uvuvi; alikuwa serikalini anajua anachosema.

Profilbild von Vicent
Vicentvor 1 Jahr

T 42, wakati bajeti ni 50T. Ana hoja ya msingi ila namba anazingua

Profilbild von one for real
one for realvor 1 Jahr

Huyo mwanamke hana maana hata ungeandika kurasa 600

Profilbild von Kunta Kinte
Kunta Kintevor 1 Jahr

Kwani wanasoma basi?

Profilbild von DR VAGI VARANGATI
DR VAGI VARANGATIvor 1 Jahr

@LuhagaMpina wewee ni Rais ujae tunaomba wakikunyima ubunge utulie ... sisi watanzania hatukudai..umepiga kazi uliyotumwa na watanzania.. na ndiyo maana jana umeambiwa wewe ni mbunge wa Taifa. Basi nasisi tunasema Wese ni RAIS ajaye wa Taifa hili.

Profilbild von Walter Mathayo
Walter Mathayovor 1 Jahr

Itakuuma pale walioba wakapandishwa vyeo ww ukafurushwa

Profilbild von IBRAHIM TRAOURE
IBRAHIM TRAOUREvor 1 Jahr

Lakini Bado hajali, nadhani hata hakuisoma.

Profilbild von moff_gideons_sankara🗨
moff_gideons_sankara🗨vor 1 Jahr

Raisi hapendi kusoma... na wanaomsomea hawasomi kwa usahihi

Profilbild von Mr.Chiks
Mr.Chiksvor 1 Jahr

Nimekumbuka ule msemo,"kesi ya ngedere kwenda kushtaki kwa nyani."

Profilbild von SUNGURA OLTURUNGA.🇹🇿🇰🇪🇺🇬
SUNGURA OLTURUNGA.🇹🇿🇰🇪🇺🇬vor 1 Jahr

🤔🤔