Sensitive content

This media may contain sensitive content.

Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Kumbe si jepesi tunavyodhani.

45,918 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

Mamwavi_Nkabasia's profile picture
Mamwavi_Nkabasia1 year ago

Mpina alikuwa Naibu Waziri wa fedha kabla ya kuhamishiwa Mifugo na uvuvi; alikuwa serikalini anajua anachosema.

Vicent's profile picture
Vicent1 year ago

T 42, wakati bajeti ni 50T. Ana hoja ya msingi ila namba anazingua

one for real's profile picture
one for real1 year ago

Huyo mwanamke hana maana hata ungeandika kurasa 600

Kunta Kinte's profile picture
Kunta Kinte1 year ago

Kwani wanasoma basi?

DR VAGI VARANGATI's profile picture
DR VAGI VARANGATI1 year ago

@LuhagaMpina wewee ni Rais ujae tunaomba wakikunyima ubunge utulie ... sisi watanzania hatukudai..umepiga kazi uliyotumwa na watanzania.. na ndiyo maana jana umeambiwa wewe ni mbunge wa Taifa. Basi nasisi tunasema Wese ni RAIS ajaye wa Taifa hili.

Walter Mathayo's profile picture
Walter Mathayo1 year ago

Itakuuma pale walioba wakapandishwa vyeo ww ukafurushwa

IBRAHIM TRAOURE's profile picture
IBRAHIM TRAOURE1 year ago

Lakini Bado hajali, nadhani hata hakuisoma.

moff_gideons_sankara🗨's profile picture
moff_gideons_sankara🗨1 year ago

Raisi hapendi kusoma... na wanaomsomea hawasomi kwa usahihi

Mr.Chiks's profile picture
Mr.Chiks1 year ago

Nimekumbuka ule msemo,"kesi ya ngedere kwenda kushtaki kwa nyani."

SUNGURA OLTURUNGA.🇹🇿🇰🇪🇺🇬's profile picture
SUNGURA OLTURUNGA.🇹🇿🇰🇪🇺🇬1 year ago

🤔🤔