Sensitive content

This media may contain sensitive content.

Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Kumbe si jepesi tunavyodhani.

45,781 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Mamwavi_Nkabasia
Mamwavi_Nkabasia1 год назад

Mpina alikuwa Naibu Waziri wa fedha kabla ya kuhamishiwa Mifugo na uvuvi; alikuwa serikalini anajua anachosema.

Фото профиля Vicent
Vicent1 год назад

T 42, wakati bajeti ni 50T. Ana hoja ya msingi ila namba anazingua

Фото профиля one for real
one for real1 год назад

Huyo mwanamke hana maana hata ungeandika kurasa 600

Фото профиля Kunta Kinte
Kunta Kinte1 год назад

Kwani wanasoma basi?

Фото профиля DR VAGI VARANGATI
DR VAGI VARANGATI1 год назад

@LuhagaMpina wewee ni Rais ujae tunaomba wakikunyima ubunge utulie ... sisi watanzania hatukudai..umepiga kazi uliyotumwa na watanzania.. na ndiyo maana jana umeambiwa wewe ni mbunge wa Taifa. Basi nasisi tunasema Wese ni RAIS ajaye wa Taifa hili.

Фото профиля Walter Mathayo
Walter Mathayo1 год назад

Itakuuma pale walioba wakapandishwa vyeo ww ukafurushwa

Фото профиля IBRAHIM TRAOURE
IBRAHIM TRAOURE1 год назад

Lakini Bado hajali, nadhani hata hakuisoma.

Фото профиля moff_gideons_sankara🗨
moff_gideons_sankara🗨1 год назад

Raisi hapendi kusoma... na wanaomsomea hawasomi kwa usahihi

Фото профиля Mr.Chiks
Mr.Chiks1 год назад

Nimekumbuka ule msemo,"kesi ya ngedere kwenda kushtaki kwa nyani."

Фото профиля SUNGURA OLTURUNGA.🇹🇿🇰🇪🇺🇬
SUNGURA OLTURUNGA.🇹🇿🇰🇪🇺🇬1 год назад

🤔🤔

Похожие видео