Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

Kuna watu wana utani sana

86,184 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)

10 Kommentare

Profilbild von ASSEY.
ASSEY.vor 1 Jahr

Watu wanakuja na maneno eti hicho kifo Mungu kapanga. Huo uzembe tusimshirikishe Mungu. Mpango wa Mungu tufe katika uzee ulio mwema... Ifike mahali wapigwe faini kubwa.

Profilbild von MAIPAMBO JR
MAIPAMBO JRvor 1 Jahr

Labda walikua wana zunia engene isianguke😀😀

Profilbild von Adventure-360
Adventure-360vor 1 Jahr

😅

Profilbild von HellSpawn
HellSpawnvor 1 Jahr

Huyo dereva, tajiri wote wawekwe ndani na leseni ya biashara ifutwe, ili wengine wajifunze. Huo mnyororo unahold vipi stress za vibration from the engine 🚮. Walikuwa wanaenda kutoa roho za watu hawa mashetani

Profilbild von Al-Masoud Bin Saleh
Al-Masoud Bin Salehvor 1 Jahr

Tatizo ukaguzi ni kama unafanyika kwa msimu. Barabarani kuna mabasi mengi mabovu zaidi ya hili nayanabeba abiria.

Profilbild von Lactose
Lactosevor 1 Jahr

Matajiri wapo after money! Wana slogan yao “Ukifa utaenda kupewa mwili mpya”

Profilbild von Mani Machuppa
Mani Machuppavor 1 Jahr

Sometimes tuwe wawazi kweli unasafirisha abiria hivyo chombo hakiko salama

Profilbild von TUNECHI🇦🇺
TUNECHI🇦🇺vor 1 Jahr

Ah wana mzaha na uhai wetu

Profilbild von 𝐀mbwene
𝐀mbwenevor 1 Jahr

Hatupo serious

Profilbild von Pilot ✈️
Pilot ✈️vor 1 Jahr

Hongera kwa Jeshi la Polisi, kazi nzuri.

Ähnliche Videos