Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Kura Maishaaa 😁😁😁😁😁😁😁 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
52,114 Aufrufe • vor 2 Tagen •via X (Twitter)
31 Kommentare

Mshikaji anaonekana mtu wa maji sana yani kula na maisha na kuonga ni vitu tofauti kwake😂

Pesa yangu kumpa mwanamke (kuhonga) labd nifanyiwe maombi nahs Nina shida sehemu

Nb: wanaume tule maisha tusiishie kuwatafutia wengine tu.

Mzee wa Zimbabwe tumemiss sana mawe yako pendwa ya kiaarakati na ukosoaji wa kweli. Tutupie jiwe moja basi kaka

Jamaa kazingatia sana hicho kipengele. Tunaishi mara Moja mkato 😂😂

Tunaishi mara moja kwahiyo kura maisha ni muhimu sana

Noma 😀🙌

Kuhonga ni kipengere muhimu sana

Familia kabisa huyu wanaume rizki zetu ngumu mno 😂🙌

😁😁😁

Kuraaa maisha kaka....

😂😂😂

Kula Maisha

Kula maisha 😂😂 Eat more, the slogan says 🤗🤗

Amenianua kitu hapo kumbe kula maisha hakuhusiani nakuhonga

Noma mno

Utaftaji ni mgumu iweje tupangiane namna ya kula maisha nyie wanawake hiyo bajeti ya kuhonga iko kwenye kitabu gan kwenye vile vitakatifu( biblia au quruan)

🤣🤣🤣

@MadadyJr 😂😂😂

Dogo jau sana uyu 🤣🙌

🤣🤣🤣

@mwlkeberenge 😂😂

Hhj

😂😂😂

Hiyo ya kula maisha asipokuwa na msimamo ndiyo inaenda kugeuka yakuhongea

😁😁

😂😂😂

Afadhali anawakumbuka wazazi

Dah nimecheka sana aysee

Uyu jamaa nmechoka

Kura maisha
