Loading video...
Video Failed to Load
Mama Mkwe hii si sawa kabisa. Ummy Mwalimu
48,666 views • 2 years ago •via X (Twitter)
10 Comments

@ummymwalimu TATIZO CO WAHUDUMU. TATIZO NI MFUMO WA KUENDESHA NCHI. KILA1 NI MKUBWA NDANI YA SERIKALI NA CCM. TUWATOE CCM MADARAKANI ILI TUBADILISHE MFUMO WA KUENDESHA NCHI YETU. NASEMA TUWATOE CCM KWASABB CCM WAMEKATAA KUBADILISHA MFUMO. WAMEKATAA KATIBA. KATIBA NDIO INAYOBADILISHA MFUMO

@ummymwalimu Jana kujifanya kufika hospitali kwa nguvu ya wapiga kelele. Mnapata msaada watu wanavyoibua uzembe, nyie mnachkuli poa haya.

@ummymwalimu Hua wanasubiri maafa yatokee ndio waje wajieleze sana(wajitetee), kwan hawawezi kuweka miongozo ili haya yasitokee? Au kwakua family zao ziko salama?, au kwakua haya hayawezi kuwatokea wao na familia zao?, tuwe na huruma na wenzetu, kila mtu anastahili kuishi.

@ummymwalimu Aisee inauma

@ummymwalimu Watasikitishwa sanaaa watalaani vikali tukio hilo wataunda natume juuu ila hakuna muendelezo wa hizo uwajibikaji

@ummymwalimu Nilimuona ummy jana kwenye 45 min anauongo huyu mama alafu kahama kutoka kwenye utendaji na kuwa chawa yaan kila sentensi mbili razima mama iwe imepita mama zinatamukwa nyingi kuliko lengo mahususi

@ummymwalimu Wataishia kulaumu wahudumu wa Afya lkn in and out ya matatizo wanayajua tu

@ummymwalimu Moja ya sera za huduma ya Afya kwa mama mjamzito nchi ni kujifungua bure, hii sio mara ya kwanza kusikia mama mjamzito kupoteza maisha na mtoto. swala la kutozwa pesa sio wauguzi au masaktari bali ni wizara ya afya yenyewe kuna mambo haitekelezi ndio maana haya yanatokea.

@ummymwalimu Viongozi wala RUSHWA hawawezi kukemea RUSHWA tusidanganyane, SERIKALI iliyojaa UFISAIDI haiwezi kukemea UFISADI

@ummymwalimu Mzee katoa laana hadi kwa watoto wake
