Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Mama Mkwe hii si sawa kabisa. Ummy Mwalimu

48,666 views • 2 years ago •via X (Twitter)

10 Comments

Ayie Tag's profile picture
Ayie Tag2 years ago

@ummymwalimu TATIZO CO WAHUDUMU. TATIZO NI MFUMO WA KUENDESHA NCHI. KILA1 NI MKUBWA NDANI YA SERIKALI NA CCM. TUWATOE CCM MADARAKANI ILI TUBADILISHE MFUMO WA KUENDESHA NCHI YETU. NASEMA TUWATOE CCM KWASABB CCM WAMEKATAA KUBADILISHA MFUMO. WAMEKATAA KATIBA. KATIBA NDIO INAYOBADILISHA MFUMO

godlisten mshigwa's profile picture
godlisten mshigwa2 years ago

@ummymwalimu Jana kujifanya kufika hospitali kwa nguvu ya wapiga kelele. Mnapata msaada watu wanavyoibua uzembe, nyie mnachkuli poa haya.

+255HiddenAfrica's profile picture
+255HiddenAfrica2 years ago

@ummymwalimu Hua wanasubiri maafa yatokee ndio waje wajieleze sana(wajitetee), kwan hawawezi kuweka miongozo ili haya yasitokee? Au kwakua family zao ziko salama?, au kwakua haya hayawezi kuwatokea wao na familia zao?, tuwe na huruma na wenzetu, kila mtu anastahili kuishi.

omtima Massanda's profile picture
omtima Massanda2 years ago

@ummymwalimu Aisee inauma

dady's profile picture
dady2 years ago

@ummymwalimu Watasikitishwa sanaaa watalaani vikali tukio hilo wataunda natume juuu ila hakuna muendelezo wa hizo uwajibikaji

Rugu kwetu,'s profile picture
Rugu kwetu,2 years ago

@ummymwalimu Nilimuona ummy jana kwenye 45 min anauongo huyu mama alafu kahama kutoka kwenye utendaji na kuwa chawa yaan kila sentensi mbili razima mama iwe imepita mama zinatamukwa nyingi kuliko lengo mahususi

Edward's's profile picture
Edward's2 years ago

@ummymwalimu Wataishia kulaumu wahudumu wa Afya lkn in and out ya matatizo wanayajua tu

Santa M.M's profile picture
Santa M.M2 years ago

@ummymwalimu Moja ya sera za huduma ya Afya kwa mama mjamzito nchi ni kujifungua bure, hii sio mara ya kwanza kusikia mama mjamzito kupoteza maisha na mtoto. swala la kutozwa pesa sio wauguzi au masaktari bali ni wizara ya afya yenyewe kuna mambo haitekelezi ndio maana haya yanatokea.

Hartz MD's profile picture
Hartz MD2 years ago

@ummymwalimu Viongozi wala RUSHWA hawawezi kukemea RUSHWA tusidanganyane, SERIKALI iliyojaa UFISAIDI haiwezi kukemea UFISADI

Mfalme junior's profile picture
Mfalme junior2 years ago

@ummymwalimu Mzee katoa laana hadi kwa watoto wake

Related Videos