Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Msikilize Masoud kwa umakini sana!!!!!
87,923 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
10 Kommentare

logic zimejaa humo, na kila swali linazaa swali

Kiukweli ukiangalia wanachadema sio watu wa vurugu kama tunavyoaminishwa. Ni wapenda amani na wanapenda sana kusimama katika sheria. Huwa nashangaa sana nguvu inayotumika kuwadhibiti. Haihitaji degree au phd kujua kwamba mifumo ya kiutawala imekuwa corrupted

Hapa ukitiza unaona pia kuna vitu wanataka kuongea lkn uhuru huo wakuviongea unakosekana

Masoud ni genious brother respect kwake anakupiga spana af anakutoa na akili kabisa

Wazeee wa minyama wakijadili iv labda wapewe mrungula 😂

Hakuna kuhujumu serikali wala ccm, hapo ni wapumbavu wachache wanatafuta vyeo/madaraka kwa kutumia umbumbumbu wa polisi.

Hivi nyie mnadhani polisi bila kuonyesha wanafanya kazi watapata wapi budget ya kula? Kwa taarifa yenu cku ya jana tu zaidi ya million 200 zinatengwa kuzuia tukio. Kwa hio ni ulaji. Na kwenye vikao vya usalama wanaonyesha kabisa kuna risk kubwa ili pia budget itoke nzuri.

Hii nchi kaka jau Sanaa mavi matupu wanatupandikizia chuki tukose uzalendo 😠😡

Huu ukweli utabaki kuwa hivi. Chadema wamesikiliza kesi ya mbowe na hapakuwa na shida yeyote. Jana hadi mauaji.

Ninaamini wenye busara waliopo ndani ya chama tawala, wanashangaa sana kwa yaliotokea jana. Hata polisi wenyewe watakuwa wanashangaa sana nguvu walioitumia. Kazi ya Polisi ni NGUMU SANA!!
