Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

No Reforms No Election.

26,946 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля 🅹🅾🅶🅾🅾 🆆🅰 🆂🅷🅰🅼🅱🅰
🅹🅾🅶🅾🅾 🆆🅰 🆂🅷🅰🅼🅱🅰1 год назад

Aliyoyasema Mbowe hayafai, aliyasema akiwa na lengo la kuua Chama maana ni nyinyi mliotuambia Mbowe ameuza Chama na hastahili kuendelea kuwa Mkiti wa Chadema. Au Lema umesahau hotuba yako!? Leo maneno ya Mbowe yamekuwa na maana!? Acha huu mchezo wa kitoto

Фото профиля Logic Analyst
Logic Analyst1 год назад

Hii Agenda Mliipora kipind cha uchaguzi ikawa yenu. Na mkaitumia kama agenda yenu kupata kura za Wajumbe😀. Msitafute pakufia @freemanmbowetz alituchelewesha sana. Pambaneni Makamanda Oct uchaguzi usifanyike tuwape sifa kwenu na mkifeli ni nyinyi mtuambie kwa nini?

Фото профиля Godson Salema
Godson Salema1 год назад

.Hakuna mabadiliko hakuna uchaguzi ✌️

Фото профиля Mansa Mussa
Mansa Mussa1 год назад

Chochote alichokiongea Mbowe huku akiwa amelamba asali hakiwezi kutiliwa maanani

Фото профиля Jabir jr
Jabir jr1 год назад

Mbowe hana time na nyie

Фото профиля Rock Paper Sizzle
Rock Paper Sizzle1 год назад

💪 Merica, we're taking it back. 💯 You like Trump, you know it, time to show it. ✅ T's for Trump here:

Фото профиля PAPA G
PAPA G1 год назад

Lissu will fix it.

Фото профиля tonito
tonito1 год назад

Heee!!!!!! Wewe tena!!!!!!!, Mbowe mbaya sasa umeanza kutumia clip zake za nyuma ili upaishe Chadema. Ama kweli nimeamini mwisho wa ubaya aibu.

Фото профиля Kisheti
Kisheti1 год назад

Hip hop

Фото профиля Rajabu Mkalipa
Rajabu Mkalipa1 год назад

Wapiganaji wote hawapaswi kukata tamaa katika kupigania harakati za kutafuta haki na Demokrasia ya kweli.

Похожие видео