Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
No Reforms No Election.
26,946 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

Aliyoyasema Mbowe hayafai, aliyasema akiwa na lengo la kuua Chama maana ni nyinyi mliotuambia Mbowe ameuza Chama na hastahili kuendelea kuwa Mkiti wa Chadema. Au Lema umesahau hotuba yako!? Leo maneno ya Mbowe yamekuwa na maana!? Acha huu mchezo wa kitoto

Hii Agenda Mliipora kipind cha uchaguzi ikawa yenu. Na mkaitumia kama agenda yenu kupata kura za Wajumbe😀. Msitafute pakufia @freemanmbowetz alituchelewesha sana. Pambaneni Makamanda Oct uchaguzi usifanyike tuwape sifa kwenu na mkifeli ni nyinyi mtuambie kwa nini?

.Hakuna mabadiliko hakuna uchaguzi ✌️

Chochote alichokiongea Mbowe huku akiwa amelamba asali hakiwezi kutiliwa maanani

Mbowe hana time na nyie

💪 Merica, we're taking it back. 💯 You like Trump, you know it, time to show it. ✅ T's for Trump here:

Lissu will fix it.

Heee!!!!!! Wewe tena!!!!!!!, Mbowe mbaya sasa umeanza kutumia clip zake za nyuma ili upaishe Chadema. Ama kweli nimeamini mwisho wa ubaya aibu.

Hip hop

Wapiganaji wote hawapaswi kukata tamaa katika kupigania harakati za kutafuta haki na Demokrasia ya kweli.
