Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

26,946 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

🅹🅾🅶🅾🅾 🆆🅰 🆂🅷🅰🅼🅱🅰's profile picture
🅹🅾🅶🅾🅾 🆆🅰 🆂🅷🅰🅼🅱🅰1 year ago

Aliyoyasema Mbowe hayafai, aliyasema akiwa na lengo la kuua Chama maana ni nyinyi mliotuambia Mbowe ameuza Chama na hastahili kuendelea kuwa Mkiti wa Chadema. Au Lema umesahau hotuba yako!? Leo maneno ya Mbowe yamekuwa na maana!? Acha huu mchezo wa kitoto

Logic Analyst's profile picture
Logic Analyst1 year ago

Hii Agenda Mliipora kipind cha uchaguzi ikawa yenu. Na mkaitumia kama agenda yenu kupata kura za Wajumbe😀. Msitafute pakufia @freemanmbowetz alituchelewesha sana. Pambaneni Makamanda Oct uchaguzi usifanyike tuwape sifa kwenu na mkifeli ni nyinyi mtuambie kwa nini?

Godson Salema's profile picture
Godson Salema1 year ago

.Hakuna mabadiliko hakuna uchaguzi ✌️

Mansa Mussa's profile picture
Mansa Mussa1 year ago

Chochote alichokiongea Mbowe huku akiwa amelamba asali hakiwezi kutiliwa maanani

Jabir jr's profile picture
Jabir jr1 year ago

Mbowe hana time na nyie

Rock Paper Sizzle's profile picture
Rock Paper Sizzle1 year ago

💪 Merica, we're taking it back. 💯 You like Trump, you know it, time to show it. ✅ T's for Trump here:

PAPA G's profile picture
PAPA G1 year ago

Lissu will fix it.

tonito's profile picture
tonito1 year ago

Heee!!!!!! Wewe tena!!!!!!!, Mbowe mbaya sasa umeanza kutumia clip zake za nyuma ili upaishe Chadema. Ama kweli nimeamini mwisho wa ubaya aibu.

Kisheti's profile picture
Kisheti1 year ago

Hip hop

Rajabu Mkalipa's profile picture
Rajabu Mkalipa1 year ago

Wapiganaji wote hawapaswi kukata tamaa katika kupigania harakati za kutafuta haki na Demokrasia ya kweli.

Related Videos