Sensitive content

This media may contain sensitive content.

Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

Proffesor Chris Peter Maina!! Apewe maua yake!!

38,781 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)

10 Kommentare

Profilbild von Eric Forrest
Eric Forrestvor 1 Jahr

Hupati kitu maana hakuna kitu due to spoilers

Profilbild von Godson Salema
Godson Salemavor 1 Jahr

.Naked truth 📌📌

Profilbild von 𝑴𝑪 𝑲𝑶𝑴𝑩𝑶
𝑴𝑪 𝑲𝑶𝑴𝑩𝑶vor 1 Jahr

𝑱𝒂𝒋𝒊 𝒏𝒊 𝒎𝒃𝒂𝒚𝒂 𝒂𝒌𝒊𝒕𝒂𝒋𝒘𝒂 𝒕𝒖 𝒋𝒊𝒏𝒂😂😂𝑴𝒇.𝑭𝒆𝒍𝒆𝒔𝒉𝒊

Profilbild von Dunstan Dunstan
Dunstan Dunstanvor 1 Jahr

Mzee WANGU nilikuwa namuelewa sana wakati wa kuchokoza mada mbali mbali ktk majukwaa mungu amtunze

Profilbild von Gemini♊️♊️
Gemini♊️♊️vor 1 Jahr

👍👍

Profilbild von buheri thomas
buheri thomasvor 1 Jahr

Professor kwa maana yake haswa!

Profilbild von KasomaJr
KasomaJrvor 1 Jahr

Asante sana Prof Maina, Mungu aendelee kukulinda sana.

Profilbild von Mr Duny
Mr Dunyvor 1 Jahr

Naam,

Profilbild von Lida
Lidavor 1 Jahr

💐💐

Profilbild von FutureElon
FutureElonvor 1 Jahr

Wakili Jebra kambole, ukiwa unaendelea kupambana kuwapigania vijana wanaoshikiliwa na jeshi la polisi kwa makosa mbalimbali hasa ukosoaji ni vyema basi ukatoa elimu kwa hawa vijana wakiwa wanakosoa wasitumie matusi hasa kwa viongozi wetu wa kitaifa, lazima maadili yazingatiwe.

Ähnliche Videos

Prof. Emeritus Chris Maina Peter alizungumzia ‘quality ya maamuzi’ ya Mahakama. Jaji Mkuu unataka Prof. Chris Maina apongeze Mahakama kwa 'quantity ya maamuzi' ambayo yanakuwa uploaded TANZLII. QUANTITY siyo QUALITY ya utoaji haki. Unaweza kuwa na QUANTITY ya maamuzi ya Mahakama lakini hayabebi taswira ya utoaji haki. Maamuzi yanapoteza QUALITY. Ndiyo HOJA ya Prof. Chris Maina. Huwezi kudogosha uwezo wa Prof. Emeritus Chris Maina Peter kwa kuwa tu hujapenda maoni yake. Unaweza kumchukia lakini maoni yake yatabaki kuwa ukweli ambao tunaona katika Mahakama zetu zote. Prof. Emeritus Chris Maina Peter alizungumzia ‘quality ya maamuzi’ ya Mahakama. Jaji Mkuu unataka Prof. Chris Maina apongeze Mahakama kwa 'quantity ya maamuzi' ambayo yanakuwa uploaded TanzLII. QUANTITY siyo QUALITY ya utoaji haki. Unaweza kuwa na QUANTITY ya maamuzi ya Mahakama TanzLII lakini hayabebi taswira ya utoaji haki. Maamuzi yanapoteza QUALITY. Ndiyo HOJA ya Prof. Chris Maina. Unaweza kuwa na maamuzi yanayojaza mabehewa yote SGR (quantity) lakini hayana ubora (quality). Maamuzi ya Mahakama kwa sasa yanaendeshwa na hisia za Serikali kuliko mizani ya utoaji haki. Ndiyo. TanzLII ni tovuti ya Serikali ya Tanzania inayochapisha maamuzi, sheria na kanuni. TanzLII inaruhusu ufikiaji bure wa maamuzi, sheria na kanuni. Pia, TanzLII ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya LIIs. Pia, huwezi kudogosha uwezo wa Prof. Emeritus Chris Maina Peter hata kama utamuita "yule mwananchi aliyekuwa analalamika". Heshima ya Prof. Chris Maina katika Jamii ni kubwa kuliko heshima yako. Prof. Emeritus Chris Maina Peter ni Mwanazuoni. Mwalimu wa Sheria Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Mwandishi wa kazi nyingi bora kama 'Independence of Judiciary in Tanzania; Many River to Cross' Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Hamis Juma, huwezi kuondoa heshima ya Prof. Emeritus Chris Maina Peter katika jamii ya Watanzania. Maoni yake kuhusu mfumo wa utoaji haki katika Mahakama TUTAISHI NAYO. Pata muda wako mzuri kabisa, sikiliza maoni ya Prof. Emeritus Chris Maina Peter halafu soma hicho kipeperushi cha Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Hamis Juma. Halafu linganisha nani anastahili kuwa Jaji Mkuu.

Martin Maranja Masese

24,655 Aufrufe • vor 1 Jahr