Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Tazama mpaka mwisho. 🎥 #My_Fuso
134,581 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

Boda hapo ndio kaleta baraa, ila ndio huwa tunafundishwa mwendo wa tahadhari kama fuso ingekuwa mwendo wa kawaida angeweza mkwepa or kusimama kabisa

Pia Boda hana side mirror, hakuwasha indicator kauma breki gafla na kutaka kukata kona....

Wait🙄 alierekodi alijuaje?

Imetokea tu,

Hii imetokea Leo apa Moshi Barbara ya bonite

Jamaa mwenye fulana nyeupe ile agenda ya kuwa busy na hamsini zako ameifaulu vyema..lakini huyu mchukua camera ni coincidence tu au ilikuaje

Dereva wa fuso ni msenge, ameshindwaje kutanua kushoto wakati boda kaishatanua kulia??? Ni kama dereva wa fuso alikuwa anamtafuta boda amnyooshe

Huyu shehee baada ya hili tukio akatoe sadaka tu🥲🥲

Dereva wa fuso ana makosa,

Wote wanamakosa, Boda alikuwa kibati no side mirror no indicator then anakunja anauma breki gafla wakati alikuwa masaa Fuso na yeye yuko masaa
