Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Tujikumbushe kidogo!

60,434 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

Livin Athanas Silayo's profile picture
Livin Athanas Silayo1 year ago

ZZK & co watabaki kuwa WAHAINI Tu 😂

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

take the journey

Mericho kihongosi's profile picture
Mericho kihongosi1 year ago

Majibu yapo hapo 👇

UnCrowned King's profile picture
UnCrowned King1 year ago

Kaka @MsigwaPeter kama kuna mahali nimewahi kukutukana kwa kutoka kwako chadema nisamehe bro

Shaaban Robert's profile picture
Shaaban Robert1 year ago

Wote nyie wanafiki tu sio CCM Wala CHADEMA Wala takataka yoyote ya wanasiasa wote mnatuona raia kama ng'ombe tu

TANDITSE KUDRA GARULA's profile picture
TANDITSE KUDRA GARULA1 year ago

Nataka ile voice note akisema hii ni vita an Zitto asurubiwe asisamehewe @MsigwaPeter. Kama unayo iweke mchungaji

Tanganyika One 🇰🇪🇿🇦's profile picture
Tanganyika One 🇰🇪🇿🇦1 year ago

Huyu @zittokabwe alikuwaga wa moto sana...huyu jamaa tulimpoteza sana ...huyu ilibidi at some point awe mwenyekiti wa chama...na mkuu wa kambi ya upinzani hapa katikati..mapenzi na makada ya CCM yalimzidi

Mr. Nice Rice 🌾🍚's profile picture
Mr. Nice Rice 🌾🍚1 year ago

Basi unaona unapiga Kazi sana mwamba! You quit discussions on issues now you discuss people

i Write , What i Like #Truth Only ⚖️'s profile picture
i Write , What i Like #Truth Only ⚖️1 year ago

Chadema ni chama cha watu wa kaskazini. huo ndio ukweli?

Your Eagles 🦅's profile picture
Your Eagles 🦅1 year ago

● Ila Msigwa kwenye maisha isikimbie TATIZO bali kabiliana nalo, sasa wewe ndugu ukaamua kutimua vumbi, 😂🤣😂😂😂 vip sasa uliko fika kuna nafasi kama ya huku?

Dada Wa Kazi Za Ndani's profile picture
Dada Wa Kazi Za Ndani1 year ago

Tatizo nyie hamkuaminika.. ndo maana waliwasoma mda hivo mngekuwa wenyeviti mngeuza chama nyie.. kama misukosuko kidogo mnapesuka itakuwa changamoto za uenyekiti.. Msigwa unatamaaa hata sura yako inaonekana