正在加载视频...
视频加载失败
Ujumbe muhimu sana na kweli.
47,496 次观看 • 3 年前 •via X (Twitter)
10 条评论

Kweli kabisa.., Kuna kampuni moja nilikua nafanya kazi yaani ukienda ofisini unaanbiwa kaa hapo boss kasema subiri. Muda unaenda, hadi saa za kazi zinaisha unaambiwa nenda urudi kesho. Cheque iko hapo kukusainia labda uliamshe.., Ni balaa. Hakika nitakua chachu ya mabadiliko!!

Would you like to join Chiitan in the Avengers?

Hakika kabisa

Noticing the problem is the first step toward solving it!

Kuna ile ofisi ya ku register ndoa, jamani pale pameozaaaaa, wadada wanaringa wale. Muda wa kazi wanaongea na sim, na wateja tumejazana ka chumba kadogooo, tunatia hurumaaa.

Ujumbe wa busara sana! TZ kila mahala kumejaa hayo majitu, ukienda kwenye usajili utakutana nao, NIDA utakutana nao, Uhamiaji (passport) utakutana nao, TRA na Polisi ndio mbaya zaidi...!

Yaani,ni Akili sana,Busara na Hekima kweli kweli,bahati mbaya,wenye kuokota Fursa nchi hii ya kutawala,ni ngumu sana kuelewa somo

Watu wa hivi wapo wachache sana tz

@Savevidnow

Mchungaji MUNGU akibariki sana
