Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Ukweli mchungu 📌

25,676 просмотров • 3 лет назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля PeeTAH
PeeTAH3 лет назад

Dah! Huyu jamaa huyu,hata akifa siku yyte,(japo hatuombei ila iwe kwa ratiba ya Mungu)kalitendea haki jina lake na karama ambayo Mungu alimpa, Binafsi simdai kitu asee,bless up,

Фото профиля Th€ L2m
Th€ L2m3 лет назад

Ha ha ha ha Chama chake.....na sio serikali yake. Viva Mh, Rais vyama acha viumizane Serikali ndio refaree wa vyama.

Фото профиля Haki Haiombwi🇺🇰🇪
Haki Haiombwi🇺🇰🇪3 лет назад

@MikatiKajange Hakika huyu nikiongozi

Фото профиля Reace@📌✈️
Reace@📌✈️3 лет назад

Jamaa yupo smart sana kwny kuongea

Фото профиля Aeyel Malima
Aeyel Malima3 лет назад

Hilda ulkuwa unaagalia mpira pia

Фото профиля BRYCESON G.URIO
BRYCESON G.URIO3 лет назад

Ni sahihi,serikali ya awamu ya TANO itabakia kuwa serikali iliyoumiza watu kuliko awamu zote kuanzia watu kuuliwa,kundi la wasiojulikana,watu kufilisiwa mali zao kibabe,watu kupotea,makampuni na mashirika mengi binafsi kufa nk nk nk !!!

Фото профиля Mifumo
Mifumo3 лет назад

Inaumaa

Фото профиля Lyumalinyonge
Lyumalinyonge3 лет назад

Jambo muhimu sana katika yooote na harakat zako zoote, Naamini unafanya ivo but jipambanie hizi sarakasi zina ukomo wa maajabu mnoo

Фото профиля Eng. Matemu
Eng. Matemu3 лет назад

CDM ikulu wataisikia tu 😂😂

Фото профиля Mo Boudia
Mo Boudia3 лет назад

Wewe mwenyewe ni sehemu ya chama tawala

Похожие видео