Loading video...
Video Failed to Load
Ujumbe huu ufike Chamwino.
23,708 views • 1 year ago •via X (Twitter)
5 Comments

#Kigogo wa mama🇱🇷1 year ago
Me kila siku ntawaona nyie chadema ni wapumbavu kwa sababu. Kwanza chadema kwa miaka yote hamjui kukitangaza chama chenu nje ya kukosa sera majukwaani. Chama kinaitaji watu na sio kubangua watu kama CCM imeweza kuwapa tuzo comedia na nyie wekeni LISSU Ndondo Cup watu wacheze ⚽

Mussa Ndelule1 year ago
Siku Moja taifa hili litamwaga damu kizembe sana

Mbuya Mpenda 🅰️MANI1 year ago
Uchunguzi ufanyike ijulikane where is Soka na wenzie

Geofrey Enock1 year ago
Kabisa Tena Makatuni Kabisa

Samwel Msuya1 year ago
Hakuna amani kuna utii kwa serekali wa shuruti. Ukinyanyua kichwa serekali inakanyaga.....😭
