Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Ujumbe huu ufike Chamwino.

23,708 views • 1 year ago •via X (Twitter)

5 Comments

#Kigogo wa mama🇱🇷's profile picture
#Kigogo wa mama🇱🇷1 year ago

Me kila siku ntawaona nyie chadema ni wapumbavu kwa sababu. Kwanza chadema kwa miaka yote hamjui kukitangaza chama chenu nje ya kukosa sera majukwaani. Chama kinaitaji watu na sio kubangua watu kama CCM imeweza kuwapa tuzo comedia na nyie wekeni LISSU Ndondo Cup watu wacheze ⚽

Mussa Ndelule's profile picture
Mussa Ndelule1 year ago

Siku Moja taifa hili litamwaga damu kizembe sana

Mbuya Mpenda 🅰️MANI's profile picture
Mbuya Mpenda 🅰️MANI1 year ago

Uchunguzi ufanyike ijulikane where is Soka na wenzie

Geofrey Enock's profile picture
Geofrey Enock1 year ago

Kabisa Tena Makatuni Kabisa

Samwel Msuya's profile picture
Samwel Msuya1 year ago

Hakuna amani kuna utii kwa serekali wa shuruti. Ukinyanyua kichwa serekali inakanyaga.....😭

Related Videos