正在加载视频...
视频加载失败
Ujumbe huu ufike Chamwino.
5 条评论

#Kigogo wa mama🇱🇷1 年前
Me kila siku ntawaona nyie chadema ni wapumbavu kwa sababu. Kwanza chadema kwa miaka yote hamjui kukitangaza chama chenu nje ya kukosa sera majukwaani. Chama kinaitaji watu na sio kubangua watu kama CCM imeweza kuwapa tuzo comedia na nyie wekeni LISSU Ndondo Cup watu wacheze ⚽

Mussa Ndelule1 年前
Siku Moja taifa hili litamwaga damu kizembe sana

Mbuya Mpenda 🅰️MANI1 年前
Uchunguzi ufanyike ijulikane where is Soka na wenzie

Geofrey Enock1 年前
Kabisa Tena Makatuni Kabisa

Samwel Msuya1 年前
Hakuna amani kuna utii kwa serekali wa shuruti. Ukinyanyua kichwa serekali inakanyaga.....😭
