Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

20,112 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

10 Yorum

Abdulkarim  Juma profil fotoğrafı
Abdulkarim Juma1 yıl önce

Zungumzeni ila jueni Hakuna wa kuishinda taasisi. Na tuwahakikishie hii safari lazima tufike bila kumtegemea mtu Au kikundi cha watu. @ChademaTZ2 ni mpango wa mungu

Sir Major profil fotoğrafı
Sir Major1 yıl önce

@DevotaMinja Sio jambo la kushangaza kwa genge la wajinga kuunadi ujinga! Wakati mnajiunga CHADEMA akili za kukibeza na kukichafua mlikuwa mmeziacha wapi?! Kinachofanywa na Genge la Njaa55 ni sawa na kutumia kopo la kujitawazia chooni na kuligeuza kuwa sahani ya kulia chakula!

Chaz Murimi 🇹🇿🇰🇪🇺🇸🇺🇦🇮🇱 profil fotoğrafı
Chaz Murimi 🇹🇿🇰🇪🇺🇸🇺🇦🇮🇱1 yıl önce

Ukweli upi malaya wa kisiasa. Ukiachika achika na tumikia bwana mpya achana na majungu kwa X wako

prof Muya profil fotoğrafı
prof Muya1 yıl önce

Wewe maharufu ya hayo mawanja unayopakaga kwenye nyusi yanakulewesha akili. Punguza.

𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚 profil fotoğrafı
𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚1 yıl önce

Documents za kikao cha kamati kuu hazipo? Kama zipo kwa nini zisitumike kukanusha haya? I believe kama haya yalikuwa maazimio ya kamati kuu kuna document ambayo ipo signed ya wajumbe wote wa kamati kuu waliohudhuria kikao kile.

Denis Ndunguru profil fotoğrafı
Denis Ndunguru1 yıl önce

Ivi amuoni mnajiaibisha MFANO WA KUFA KISIASA NI KWA COVID19 AMJAJIFUNZA TU? HUO NDIO MWISHO WA KISIASA KWENU

elyneema yuda🇹🇿🇹🇿 profil fotoğrafı
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿1 yıl önce

Mfano wewe unadhani ukigombea kupitia taasisi gani unaweza kushinda

Ayie Tag profil fotoğrafı
Ayie Tag1 yıl önce

Uongo wako na tamaa yako itakugarimu siku zenu zinahesabika. Uliwasema sana C19 kumbe ww ni zaidi yao. Unahongwa kuiua CDM jiulize utaweza? Kula pesa za Watz ila pesa za CCM zina laana hautakuwa sawa kwasbabu ni pesa zenye damu, mateso ya WATZ. Mungu wetu ni mwema kawaumbua Live

Oscarmsukwa profil fotoğrafı
Oscarmsukwa1 yıl önce

Hakuna ukweli wowote hapo!

Lai profil fotoğrafı
Lai1 yıl önce

Si muondoke na mtulie? Kwani mnahisi umuhimu wenu umeisha? Kila siku chadema kwani ni chama chenu? Ninyi si mmeshaondoka?

Benzer Videolar