正在加载视频...
视频加载失败
Wezi hua Miyeyusho sana aisee dah
37,247 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)
11 条评论

Ndo mana nikikuta sehemu wanapiga mwizi sisogei, I know the pain

Wanatia hasira sana

whoa thats crazy but have you heard this?

💨 Kumbe hii milango inanyanyuka kirahisi hivi. Hawa jamaa ukiwakuta ni kuwabonyeza kisawasawa.

Tangia wani chukulie Kibajaji changu cha kustaafia 04/06/2017 sina hamu nao.

Pole sana

Mimi kitu ambacho kinanishangaza mpaka Leo ina Hawa wezi Huwa hawanaonagi wenzao wakikamatwa kitu ambacho wanafanywa ?? Mbona hawana roho ya uwoga hata kidogo?? Why, Yan unaona mwenzako anachomwa moto Leo kesho linatokeabjizi jingne nalo linaiba, dah!!

Mbona hasemi action anayoenda kuchukua baada ya hapo kana mwamba kakubali na kaona ni sawa so hyo cctv inakusaidia nini sasa hapo

Huu ujasiri ni zaid ya kujitoa muhanga kaupata wap🤔🤔😂😂😂

Ila unaweka mali za gharama km hvyo halaf mwizi anaingia easily tu hvyo dukan kweli. Sema wafanya biashara wengi kwenye hili wanakwama. Kuna mtu anaweka mzigo wa milion mpaka 200 dukan halaf anategemea kufuli la 15k😳

Jamaa miyeyusho sana wanarudisha nyuma
