#noreformsnoelection

Mhe. Tundu Antiphas Lissu akiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. "#NoReformsNoElection"
Chadema Tanzania234,110 просмотров • 1 год назад

Oooooh!…. Watanzania waoga, Watanzania waoga kiko wapi? Nywinywi zipo za kutosha leo mamae 😀 #Mo29 #NoReformsNoElection
Hilda Newton129,540 просмотров • 7 месяцев назад

#Rais #Rais #Rais! An enthusiastic reception for Tundu Antiphas Lissu today at the High Court of Tanzania 🇹🇿. The trial is exposed for what it is, a farce, a show trial, a political staging! People will no longer be fooled by the Samia Suluhu regime. #FreeTunduLissu #NoReformsNoElection
Christian Kattner 🖤 🇩🇪🇺🇦🇪🇺 🇹🇿65,642 просмотров • 9 месяцев назад

Ripoti ya Kituo cha Habari cha kimataifa Aljazeera Kuhusu kesi ya Mh Tundu Antiphas Lissu #NoReformsNoElection
Mnyawami85,181 просмотров • 1 год назад

Kanyaga maliza kabisa hawa “wajinga wajinga” aka #Njaa55 Wanataka wapiga kura na watu waumizwe hata kuuwawa - kisa ruzuku!? Thubutu! You are bringing back common sense to politics Tundu Antiphas Lissu and we appreciate you - tena sana 👊🏽🔥 #NoReformsNoElection #TutaelewanaTu
Maria Sarungi Tsehai81,459 просмотров • 1 год назад

Kwa lugha nyingine Balozi Polepole anasema #NoReformsNoElection
Hilda Newton64,114 просмотров • 11 месяцев назад

Tukisema #NoReformsNoElection tunamaanisha haya. Hakuna Nchi yoyote duniani ambayo kosa halina adhabu ni Tanzania tu… Nchi nyingine zenye kuheshimu watu, kufanya kosa la uchaguzi adhabu yake ni sawa na uhaini kwasababu unakua unajaribu kupindua nguvu ya wananchi ambao ndio msingi wa mamlaka na madaraka ya Nchi. Hapa chama au mgombea akikosea anadhibiwa msimamizi akifanya jambo lolote hata kwa makusudi Hakuna adhabu.. Maana yake sheria inahamasisha kufanya makosa.. utamfanya nini!! Shame
John Heche73,508 просмотров • 1 год назад

