Peter Msigwa's banner
Peter Msigwa's profile picture

Peter Msigwa

@MsigwaPeter24,308 subscribers

Pastor | Former Member of parliament-iringa constituency 2010 -2020 | Former Shadow Minster for Natural Resource and Tourism 🇹🇿

Shorts

Yaani Mwamba amefikia level hizi Huku ni kushuka kisiasa kulikopitiliza 🤣🤣

Yaani Mwamba amefikia level hizi Huku ni kushuka kisiasa kulikopitiliza 🤣🤣

54,947 views

Kwa jirani mambo ni moto🤣🤣🤣🤣 wanaonyeshana makali

Kwa jirani mambo ni moto🤣🤣🤣🤣 wanaonyeshana makali

46,465 views

Hapa ni mwaka 1987 nikiwa muuza mitumba !sijui mwenzangu ulikuwa wapi mimi nilikuwa na hii Benz yangu. Najivunia Historia hii

Hapa ni mwaka 1987 nikiwa muuza mitumba !sijui mwenzangu ulikuwa wapi mimi nilikuwa na hii Benz yangu. Najivunia Historia hii

57,569 views

Watu wasio weza kujisimamia na kujiongoza wenyewe (CHADEMA) wanawezaje kuongoza Nchi. Wamevurugana kwa Rushwa za uchaguzi huko Njombe. Mmoja wa wagombea akiwatumia wapiga kura rushwa kwa simu yake mwenyewe! Hapa bado hamuelewi wapi?

Watu wasio weza kujisimamia na kujiongoza wenyewe (CHADEMA) wanawezaje kuongoza Nchi. Wamevurugana kwa Rushwa za uchaguzi huko Njombe. Mmoja wa wagombea akiwatumia wapiga kura rushwa kwa simu yake mwenyewe! Hapa bado hamuelewi wapi?

12,234 views

Videos

MsigwaPeter's profile picture

MAFUTA SI MALI YA SERIKALI; NI MALI YA WATANZANIA. HIVYO, WATANZANIA WANA HAKI YA KUJUA. Mafuta ni bidhaa ya kimkakati. Bei yake huathiri gharama za usafiri, uzalishaji, kilimo, biashara na hatimaye maisha ya kila Mtanzania. Kwa sababu hiyo, mchakato wa uagizaji wa mafuta unapaswa kuwa wa uwazi, ushindani wa haki na uwajibikaji. Kwa maslahi ya umma, mamlaka husika zinapaswa kutoa majibu ya wazi kwa maswali yafuatayo: Ni kampuni gani imepewa zabuni ya kuingiza mafuta nchini kwa sasa? Zabuni hiyo ilitangazwa lini, ilitangazwa kwa utaratibu upi, na ni kampuni ngapi ziliwasilisha zabuni zao? Ni vigezo gani vya kitaalamu, kifedha na kisheria vilitumika kumchagua mshindi wa zabuni hiyo? Kampuni ya Namaro ni ya nani? Imesajiliwa katika nchi gani? Ina uzoefu gani katika biashara ya mafuta, na ilikidhi vipi masharti ya zabuni? Je, kuna uhusiano wowote wa kibiashara, kimiliki au wa kimkataba kati ya Namaro, Oilcom na Vitol? Ikiwa upo, ni wa aina gani? Mkataba huu utaongeza ushindani na kupunguza gharama za mafuta kwa wananchi, au utaongeza mkusanyiko wa nguvu za soko kwa kampuni chache? Serikali imechukua hatua gani kuhakikisha kwamba mchakato huu unazingatia sheria za manunuzi, sheria za ushindani na unalinda maslahi ya Taifa? Haya si maswali ya uadui. Haya ni maswali ya uwajibikaji. Serikali inayosimamia rasilimali za umma kwa uwazi haina sababu ya kuogopa kuyajibu. Wananchi wanapouliza kuhusu namna biashara ya mafuta inavyoendeshwa, hawafanyi hivyo kwa sababu wanapinga maendeleo. Wanafanya hivyo kwa sababu mafuta yanagusa maisha yao kila siku, na wanataka kujiridhisha kwamba maamuzi yote yanafanywa kwa uwazi, kwa ushindani wa haki na kwa manufaa ya Taifa. Uwazi hujenga imani. Ukimya hujenga mashaka.

Peter Msigwa

18,440 views • 8 days ago

MsigwaPeter's profile picture

It is good to be home!

Peter Msigwa

11,250 views • 1 month ago

MsigwaPeter's profile picture

Mayai kwa afya ya akili!

Peter Msigwa

71,323 views • 1 year ago

MsigwaPeter's profile picture

Tujikumbushe kidogo!

Peter Msigwa

60,434 views • 1 year ago

MsigwaPeter's profile picture

Katoro moja

Peter Msigwa

48,628 views • 1 year ago

MsigwaPeter's profile picture

Mdogomdogo tutafika tu!

Peter Msigwa

37,439 views • 1 year ago