
Peter Msigwa
@MsigwaPeter • 23,536 subscribers
Pastor | Former Member of parliament-iringa constituency 2010 -2020 | Former Shadow Minster for Natural Resource and Tourism 🇹🇿
Shorts
Videos
5:53
Sensitive content
This media may contain sensitive content.

Natoa pole nyingi sana kwa Msaidizi wa Mheshimiwa Tundu Lissu, Ndugu Jumbe, kufuatia tukio baya na la kinyama lililomtokea. Huu si utamaduni wa Watanzania, wala si maadili yanayopaswa kupewa nafasi katika jamii yetu. Tofauti za kisiasa zisigeuke sababu ya chuki, vitisho, au mashambulizi dhidi ya watu. Taifa lenye afya ya kisiasa hujengwa juu ya ushindani wa hoja, heshima ya utu wa binadamu, na kulinda haki ya kila mtu kuwa salama bila kujali itikadi yake. Wananchi, wakati umefika wa sisi sote kupaza sauti na kukemea matukio ya aina hii bila kujali tofauti zetu za kisiasa. Ukimya mbele ya uovu unaweza kuupa nguvu uovu wenyewe. Namtakia Ndugu Jumbe uponaji wa haraka na nguvu katika kipindi hiki kigumu. Pia naomba vyombo husika vifanye uchunguzi wa haraka, wa haki, na wa uwazi ili wote waliohusika wakamatwe na kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.
Peter Msigwa24,104 görüntüleme • 18 gün önce

“Yeyote aliyeratibu tukio la mwamba , uwezo wake ni mdogo sana , badala ya kumjenga mwamba limemdhalilisha sana, limembomoa zaidi na kumfanya aonekane kituko katika jamii. Tukio lina matobo mengi sana story haiungu kabisa . Kwa maoni yangu ushauri wa familia yake ni wa Busara sana, huu wa akina Bon wanamuingiza chaka” Wapambe wake wanasema hawataki mabadiliko ndani ya chadema, ila wanataka waibadilishe CCM🤣🤣
Peter Msigwa75,979 görüntüleme • 1 yıl önce

Yaani Mwamba amefikia level hizi Huku ni kushuka kisiasa kulikopitiliza 🤣🤣
Peter Msigwa54,938 görüntüleme • 1 yıl önce
1:57
Sensitive content
This media may contain sensitive content.